Asisubiri mama yake aende njia ya ulimwengu...kabla hajamwona mjukuu wakeMkuu, maisha ya mwanadamu ni mafupi na yenye mahangaiko, sema ukweli kwa mama kuwa una mtoto.
Muda huu uliobaki wa mama kuwepo duniani, jitahidi akutane na mtoto wako, hawa mama zetu wanabaraka sana, Life is too short to hide something big like that, u gonna regret when itβs too late.
Anaringisha eti yeye ni mtamu kuliko wake zetuHakika ruben kafanyaje tena?
Kwakweli nimepitia wakati mgumu sana kuichambua hiyo sentence lakini nimeambulia kapa(Ipo siku atakuja kunitafuta mwanangu sijamtelekeza she love so much more my daughter Nβ₯οΈ)
πππππππππππ
Ulikusudia kitu gani hapo juu mkuu?
Mbona kiswahili ni kitamu na ni rafiki yetu mpendwa...kuliko Slay queen a.k.a kimalikia asiyetupenda?
Nilijiona mimi ngumbaru sanaπKwakweli nimepitia wakati mgumu sana kuichambua hiyo sentence lakini nimeambulia kapa
Unahisi kuna tatizo pahala sio?Watoto wa kiume/ wanaume mmefikia mahala ambapo hamuaminiki kabisa..... wanaume wengi sahivi ni wake za watu.
Simshangai mama ako kukutilia shaka
Yeah kuna jambo haliko sawa, hizi sababu za kwamba wanawake hawaeleweki sijui kupigwa matukio bla bla hazinaga ishu......hivi vijana wanadhani dingi na maza wametuzaa wametulea hadi tumekua watu wazima kwani wao hawakupitia hizo mbambamba?Unahisi kuna tatizo pahala sio?
Daaah ππItakuwa waliona video ya afande sasa hivi wazazi wana hofu na watoto wa kiume
Jf raha sana sio mkuuu ππΆππππ€£π€£π€£
Duuu we upo tz kweli π€π¬π¬Hakika ruben kafanyaje tena?
Itakuwa waliona video ya afande sasa hivi wazazi wana hofu na watoto wa kiume
Jesuu murife dont run murife keep running loooh asee parakwingi πΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆπΆπππππAngalia usije wapelekea dume lenzako kwamba linataka kukuoa, nchi imekumbwa na vijana wa.ajabu sana
Umefurahi nn ww π€―π€ππ
Yanasikitisha mnoNimecheka sana, ila sio mazuri
Mwanzoni nanyie mnakuaga na dramaz sana sema mkishawezewa mnatulia kama vile sio ninyi π πYeah kuna jambo haliko sawa, hizi sababu za kwamba wanawake hawaeleweki sijui kupigwa matukio bla bla hazinaga ishu......hivi vijana wanadhani dingi na maza wametuzaa wametulea hadi tumekua watu wazima kwani wao hawakupitia hizo mbambamba?
π€£π€£π€£π€£π€Waambie kuwa una mtoto mahali,sa kwanini ulidanganya???