Wazazi wanataka mjukuu wanashangaa hawajawahi kuniona na mwanamke

Hapo kwenye bold panaonesha wazi una shida kubwa sana kisaikolojia ai kiakili. Unawadanganya wazazi wako kwa faida ya nani? au nawe ni walewale wa upinde wa mvua?
 
Mwanzoni nanyie mnakuaga na dramaz sana sema mkishawezewa mnatulia kama vile sio ninyi πŸ˜…πŸ˜…
Umri nao sasa hauwezi kuzeeka na uchachu wa ndimu....lazma utapoa tu 😁
 
Sio siri mnakuwaga vichomi sana.
Vipi Dr. Wako hajambo?
Nyie sio vichomi??? Dr gani tena.....nishapigwa chini jamani nipo beach nakula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbali.... jimbo lipo wazi 🎢🎢🎢😁
 
Nyie sio vichomi??? Dr gani tena.....nishapigwa chini jamani nipo beach nakula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbali.... jimbo lipo wazi 🎢🎢🎢😁
Si nilikwambia nasubiria loose ball?
Mbona hukusema?πŸ˜‚
 
Lile tatizo lako la kutokuwa na hamu ya kufanya mapenzi limepona??
 
Lazima wawe serious na wewe maana hatari zimekuwa nyingi... Rejea kwa hakika Reuben, afande na wengine.

Bahati mbaya ukifa huna mtoto wanaenda kukuzika mwisho wa shamba alafu kabla hujazikwa wanakuchomekea mkaa wa moto mekunduni uende na laana zako
😣😣😣😣
 
Nimekupata mkuu nitalifanyia kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…