Wazazi wazembe wanatoa Elimu kama Urithi, Sheria ya Mirathi inakataa Elimu sio Urithi, Biblia inataka baba kuacha Urithi

Wazazi wazembe wanatoa Elimu kama Urithi, Sheria ya Mirathi inakataa Elimu sio Urithi, Biblia inataka baba kuacha Urithi

Mleta mada uko sahihi sana!


Elimu ni haki ya msingi ya mtoto.

Mtoto hakuja duniani kwa mapenzi yake wala mipango yake.

Mtoto ni matokeo ya kukutana kimwili kati ya huyo baba na mama.

Ni wajibu wa mzazi kuhakikisha anaandaa system ama anaijenga kadiri ya aendeleavyo kwa ajili ya kizazi chake.

Kumnyima mtoto japo mtaji wa kuyaanza maisha rasmi ni ubinafsi wa hali ya juu sana na unyanyasaji kwa watoto ambao hawakuwaomba muwalete hapa duniani.

Watoto wako ni kiwakilishi chako hapa duniani hata baada ya exit yako.

Sasa unamtupaje duniani mwakilishi wako bila kumuandaa na kumpa silaha za kuanzia katika mapambano yake ya Maisha baada ya kumpiga msasa kwa kutumia Elimu?

Watu wazima wengi (hasa wa Afrika) wamekariri mtoto anapaswa kumsujudia mkubwa na wakubwa wamejisahaulisha kuhusu wajibu wao wa kuwaongoza na kuwalinda watoto.

Watu weusi wengi ni wabinafsi sana sana sana!
 
Mleta mada uko sahihi sana!


Elimu ni haki ya msingi ya mtoto.

Mtoto hakuja duniani kwa mapenzi yake wala mipango yake.

Mtoto ni matokeo ya kukutana kimwili kati ya huyo baba na mama.

Ni wajibu wa mzazi kuhakikisha anaandaa system ama anaijenga kadiri ya aendeleavyo kwa ajili ya kizazi chake.

Kumnyima mtoto japo mtaji wa kuyaanza maisha rasmi ni ubinafsi wa hali ya juu sana na unyanyasaji kwa watoto ambao hawakuwaomba muwalete hapa duniani.

Watoto wako ni kiwakilishi chako hapa duniani hata baada ya exit yako.

Sasa unamtupaje duniani mwakilishi wako bila kumuandaa na kumpa silaha za kuanzia katika mapambano yake ya Maisha baada ya kumpiga msasa kwa kutumia Elimu?

Watu wazima wengi (hasa wa Afrika) wamekariri mtoto anapaswa kumsujudia mkubwa na wakubwa wamejisahaulisha kuhusu wajibu wao wa kuwaongoza na kuwalinda watoto.

Watu weusi wengi ni wabinafsi sana sana sana!

Ushauri kwa mwanaume Miliki mali nyingi mpe mtoto urithi hata kama mwanao akisoma kayumba siku ukifariki litasema baba au mama jembe... ila sasa kosea lipeleke shule za milioni tatu.. limalize shule halafu usilipe mtaji wala nyumba ya urithi.. linasahau ada ulizokuwa unamlipia kila mwaka milioni 3 linaona baba kilaza tu
 
Urithi wa maana nitakao waachia wanangu na kizazi changu ni kutokua wa Tanzania tu.
 
Mlee mtoto katika njia nzuri na ipasayo
Mpe elimu kama haki yake ya msingi
Pamoja na kumrithisha mali pia mfundishe kupambana/ kujitegemea katika kujitafutia mali zake asitegemee urithi tu

cc Smart911

Familia zote zenye nguvu duniani zimepata nguvu ya mali kwa njia ya urithi
 
Wazazi tutafute mali kwa ajili ya watoto wetu
 
Ushauri kwa mwanaume Miliki mali nyingi mpe mtoto urithi hata kama mwanao akisoma kayumba siku ukifariki litasema baba au mama jembe... ila sasa kosea lipeleke shule za milioni tatu.. limalize shule halafu usilipe mtaji wala nyumba ya urithi.. linasahau ada ulizokuwa unamlipia kila mwaka milioni 3 linaona baba kilaza tu

Elimu bila pesa na mali inakuwa haina maana
 
View attachment 2897775


tunaanza na mistari ya biblia

Mithali 13:2 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi​


Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na
Bwan
a”

NIMEGUNDUA WAZAZI WA ZAMANI WASIOENDA SHULE WANA AKILI KULIKO WAZAZI WA KISASA.

Elimu ya Mzungu imezalisha wazazi wajinga kuliko wazee ambao hawajapata hiyo elimu.

Wazee wa zamani hawakuwa na elimu ila walikuwa na akili sana. Walikuwa wanaandaa ajira za watoto wao.

Walijua mahitaji ya msingi ya binadamu ni nini chakula, Mavazi na malazi.

Baba ilikuwa wajibu wake kuhakikisha kizazi chake kinapata uhakika wa chakula, mavazi na maradhi kwa wakati.

Kijana akifikisha miaka 18 baba yake alikuwa anampa shamba, mifugo na malazi. Kisha anamuozesha.

Hapo maana yake ajira ameshampatia mwanae kwenye hilo shamba na mifugo

Wazazi wa siku hizi mtoto wa miaka 25 hapewi chochote kwa kisingizio amepewa elimu. Na elimu ndio urithi.

Ukweli elimu sio urithi. Hakuna sheria ya mirathi inayotambua elimu kama urithi.

Wazazi wa zama hizi Wanajifanya wanapenda dini ila mafundisho ya dini kuhusu urithi wanayakataa. Biblia inasema Nyumba na mali mtu atapewa na baba yake. Hakuna walipo sema elimu ndio urithi

Wazazi wengi siku hizi wanatumia asilimia kubwa ya vipato vyao kusomesha watoto wao, ila wanasahau wajibu wao wa kidini hasa Wakristo kuwarithisha mali hao watoto wao.

Watoto wengi wamesoma, wamemaliza vyuo vikuu ila hawajapata ajira. Wanashinda wanazurura tu na kulala nyumbani kutwa nzima. Sababu baba hana rasilimali za kumpa mtaji. Ama baba amefariki hajamuachia urithi wa mali, sababu kuu ameshapewa urithi wa elimu.

Elimu ni basic need kama kumpa mtoto chakula, Hivi unaweza wapa watoto chakula ati ndio useme Urithi,
Elimu ni basic need Kwa mtu inayomsaidia kutumia Rasilimali. Mzazi unapaswa uache Urithi WA rasilimali ambazo mtoto atazitumia kuendesha maisha yake baada ya kupewa elimu. Elimu bila Rasilimali ni Sawa na mdomo pasipo Meno.

Baba yake Mo dewji kamsomesha Mo dewji IST na chuo kikuu kikubwa duniani.. ila bado akaja kumpa urithi wa mali yaani kampuni ya Mohammed Enterprises

Tatizo la Ajira linaletwa na Wazazi wahuni.

Hujamrithisha mtoto Mali ataachaje kukosa Ajira?

Maisha ni yaleyale Ila binadamu ndio wanajifanya yaonekane yamebadilika


Kwa maoni yako je elimu ni urithi wa kuwekewa nguvu kuliko urithi wa mali ?
Uko sahihi Mkuu nimeshuhudia haya
 
Umeshuhudia nini madam ?
Mzee mmoja alikufa akiwa Na 70+ aliwaachia wanae 100M+ bank nyumba za kupangisha gesti houses Gari Na katika kuishi kwake aliwapa wanae wa kiume mitaji ya Biashara Na kuwapa kiwanja kila mtoto
 
View attachment 2897775


tunaanza na mistari ya biblia

Mithali 13:2 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi​


Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na
Bwan
a”

NIMEGUNDUA WAZAZI WA ZAMANI WASIOENDA SHULE WANA AKILI KULIKO WAZAZI WA KISASA.

Elimu ya Mzungu imezalisha wazazi wajinga kuliko wazee ambao hawajapata hiyo elimu.

Wazee wa zamani hawakuwa na elimu ila walikuwa na akili sana. Walikuwa wanaandaa ajira za watoto wao.

Walijua mahitaji ya msingi ya binadamu ni nini chakula, Mavazi na malazi.

Baba ilikuwa wajibu wake kuhakikisha kizazi chake kinapata uhakika wa chakula, mavazi na maradhi kwa wakati.

Kijana akifikisha miaka 18 baba yake alikuwa anampa shamba, mifugo na malazi. Kisha anamuozesha.

Hapo maana yake ajira ameshampatia mwanae kwenye hilo shamba na mifugo

Wazazi wa siku hizi mtoto wa miaka 25 hapewi chochote kwa kisingizio amepewa elimu. Na elimu ndio urithi.

Ukweli elimu sio urithi. Hakuna sheria ya mirathi inayotambua elimu kama urithi.

Wazazi wa zama hizi Wanajifanya wanapenda dini ila mafundisho ya dini kuhusu urithi wanayakataa. Biblia inasema Nyumba na mali mtu atapewa na baba yake. Hakuna walipo sema elimu ndio urithi

Wazazi wengi siku hizi wanatumia asilimia kubwa ya vipato vyao kusomesha watoto wao, ila wanasahau wajibu wao wa kidini hasa Wakristo kuwarithisha mali hao watoto wao.

Watoto wengi wamesoma, wamemaliza vyuo vikuu ila hawajapata ajira. Wanashinda wanazurura tu na kulala nyumbani kutwa nzima. Sababu baba hana rasilimali za kumpa mtaji. Ama baba amefariki hajamuachia urithi wa mali, sababu kuu ameshapewa urithi wa elimu.

Elimu ni basic need kama kumpa mtoto chakula, Hivi unaweza wapa watoto chakula ati ndio useme Urithi,
Elimu ni basic need Kwa mtu inayomsaidia kutumia Rasilimali. Mzazi unapaswa uache Urithi WA rasilimali ambazo mtoto atazitumia kuendesha maisha yake baada ya kupewa elimu. Elimu bila Rasilimali ni Sawa na mdomo pasipo Meno.

Baba yake Mo dewji kamsomesha Mo dewji IST na chuo kikuu kikubwa duniani.. ila baada ya kumaliza tu chuo bado baba akaja kumpa urithi wa mali kijana wake yaani kampuni ya Mohammed Enterprises

Tatizo la Ajira linaletwa na Wazazi wahuni.

Hujamrithisha mtoto Mali ataachaje kukosa Ajira?

Maisha ni yaleyale Ila binadamu ndio wanajifanya yaonekane yamebadilika


Kwa maoni yako je elimu ni urithi wa kuwekewa nguvu kuliko urithi wa mali ?
Wakati mwingine elimu inaweza kufubaza akili.
 
naomba nikupe mistari ya biblia

Mithali 13:2 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi;​


Mithali 19:14 “Nyumba na mali ni urithi apatao mtu kwa babaye; Bali mke mwenye busara, mtu hupewa na Bwana”
Lakini Biblia hiyo hiyo...tunaona Yakobo wanae. 12. Hakuwapa mali yeyote zaidi ya kuwatamkia maneno ya baraka.
 
Nafikiri mtoa mada anachanganya hapo, kizazi Cha Sasa Kiko tayari kuua mzazi warithi Mali zake , very sad
Haya mambo ya urithi sijui blahbkah yako Africa! Ulaya mtoto akifikisha miaka 18 anatakiwa atoke kwa wazazi akapambane! Labda wazazi wakifariki ndo hayo mambo ya next of kin na urithi yanakuja! Mtoto anatakiwa umpe elimu ya kujitambua na kupambana!
 
Back
Top Bottom