kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,672
- 3,055
Kwani waliogundua hii janjajanja sio wasimamizi? Je wasimamizi wangehusika wasingefukia mashimo???Ila Mimi kama mwalimu sijaona mantiki ya serikali kuwawajibisha watoto kwa makosa ya wasimamizi wa mitihani pamoja na wamiliki wa shule serikali iangalie namna ya kuwasaidia watoto hawa ikiwezekana warudie kufanya mtihani kwa gharama za waliopelekea kufutiwa matokeo yao.
Poleni sana Wahanga