reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Noop afanye mtihani kwanza wa std 7,hatoanza form 1 bila prem no ya std 7 na tsm 9 yake inapelekwa Shule husika atakayoendaNaomba kuuliza kma nakupata vizuri, Inamaana kwa mwaka 2023 anaweza kuanza kidato cha kwanza na ikifika muda wa kufanya mtihani wa darasa la saba anafanya ili aipate hiyo Prem namba? Je hiyo Prem namba ya mwaka huo wa 2023 itamruhusu kufanya mtihani wa kidato cha pili kwa 2024?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app