- Thread starter
- #181
Weka link hapa ya kujiunga WhatsApp mkuu ...Nitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link hapa ya kujiunga WhatsApp mkuu ...Nitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
Nimekutumia namba yangu Whatsapp. Kama hutaki, acha!Weka link hapa ya kujiunga WhatsApp mkuu ...
Ntakutumia mkuu , nashukuru sanaNimekutumia namba yangu Whatsapp. Kama hutaki, acha!
Huu ni unyanyasaji na ukatili mkubwa kwa wazazi na watoto Hawa. Watoto wamefanyiwa ubakaji kwa kushirikishwa uovu huu kwa vile tu ni watoto wasio na uwezo wa kubishana na waasisi wa uovu huu. Serikali Ione ukatili huu unaofanywa na wenye mashule dhidi ya watoto kwa manufaa Yao binafsi. Kuwahukumu na kuwanyima watoto haki za kielimu kwa uovu huu ni ubakaji kwa watoto. Serikali iangalie jambo hili kwa umakini . Ishughulikie waliosababisha haya na sio kuwaharibia watoto ubaadae wao. Please please please...... Kwani mtoto akishawishiwa kufanya ngono tunahesabu kafanya kwa ridhaa yake ????????! Serikali tafadhali iangalie mateso haya waliyosababishiwa watoto... Please !!!Hakuna mzazi anayeweza unga mkono uhuni huu, ikithibitika wafungiwe kabisa, I wazazi na watoto ni whanga katika jambo hili, yaani sio fair kwa mzazi ambaye hana Idea na hata watoto wengine hawana Idea ama ridhaa katika mazingira kama hayo ...
Unaongelea miaka hiyo.Haya mabadiriko yameanza tangu 2019,au huyo ndugu yako kamaliza darasa la saba 2019? Ukitaka kujua mambo yamebadilika,mtoto wako afike darasa la sita kisha mrushe aende Form one kwakuwa tu ana uwezo uone kama utapata admission kama zamani
Takukuru mkuu bila cheti cha drs la saba hupati kaziNitajie ajira serikalini ambapo viambanisho ni pamoja na cheti cha std 7... Mimi kwenye faili langu la ajira hakuna hicho cheti.
Kwa sasa inaathari kubwa, kwa maana ya kwamba mtihani wa kidato cha pili namba itakayotumika kujisajili ni ile ya mtihani wake wa darasa la saba. Hii ni kama ambavyo namba ya kidato cha nne inavyotumika katika vyuo na bodi ya mikopo. Hivyo ni bora zaidi kuchelewa kwa mwaka huu mmoja kuliko kufika kidato cha pili ukajajutia baadae.Haina athari ndugu. Anakosa tu admission shule za serikali.
Anaendelea sekondari kama kawaida na haitadhuru kufanya mitihani ya taifa ya kidato cha 2 na kuendelea.
Nakubaliana nawe kwa 100% isipokuwa maneno yako manne ya mwisho! Huko private watachukua ada zao za miaka miwili baada ya hapo hawatapata usajili wa kufanya mtihani wa kidato cha pili, kwa vile usajili utategemea namba ya kumalizia mtihani wa darasa la saba. Kama ambavyo namba ya kidato cha nne inavyotumika kusajiliwa chuo chochote. Wazazi mlioguswa na hili tatizo la wenye shule, fanyeni hima watoto wafanye huo mitihani, mtaja shukuru baadae. Labda kama kuna vigogo walioathirika na mwisho wa siku watabadili huu utaratibu. Mwisho wa siku hili sii LENU ni LAKOPoleni sana wazazi wenzetu mlioguswa.
Pole Kwa watoto wasio na hatia.
Karma iwakute walimu wanaocheza michezo michafu ili shule zao zionekane zinafaulisha sana wazidi kupata wateja.
Mpeleke tu private anapokelewa
Kwan hiyo St Anne Marie si ni private pia? Au mie ndo sielewi?Poleni sana wazazi wenzetu mlioguswa.
Pole Kwa watoto wasio na hatia.
Karma iwakute walimu wanaocheza michezo michafu ili shule zao zionekane zinafaulisha sana wazidi kupata wateja.
Mpeleke tu private anapokelewa
Yaanike watu wapate kuepukaaa.Hiyo shule ya St.Anne Marie sitamani hata kuisikia,nachoshukuru tu watoto wangu wameshafika mbali,siwezi kuyaanika humu maovu yao...
Weka hapa bumber hiyo ili tutume msg kujiungaNitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
Sasa utamdai fidia nani??? Wew una uhakika gani mwanao bila kuibiwa pepa angefaulu.?? So wanafutiwa matokeo ili warudie mtihani bhasii hayo ya ada ndo risk zenyewe maana angefaulu bila kugundulikaa ungefurahi na kuimba pambio za shangwee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi mkitafuta wanasheria hamuezi kuishitaki shule na ikawalipa mamilioni ya hela kwa kuzingatia mambo yafuatayo:-
1. Wewe kama mzazi uliingia mkataba na shule kwa makubaliano ya kumpatia mwanao elimu ya msingi kuanzia darasa la kwanza mpaka la saba. Kama mzazi ulitimiza wajibu wako wa kuhakikisha mtoto anaenda shule ikiwa ni pamoja na kulipa ada, kununua uniforms, madaftari nk.
2. Shule ilikuwa na wajibu wa kumfundisha mtoto na kumwandaa kufanya mtihani wa taifa, badala yake shule kama shule haikutimiza wajibu wake na ikachukuwa njia ya mkato ya kuvujisha mitihani ili kuficha uzembe wake.
3. Mzazi na mtoto kwa pamoja hamkuomba mtoto aonyeshwe mitihani ilikuwa ni utashi wa shule husika. Mimi nadhani watanzania tunauzembe wa kupuuza mambo ya msingi na kuita kupoteza muda. Kichwa ngumu kama mimi tungeishia kwanza mahakamani kwa kudai fidia ya mamilioni
Inaukweli..kuwa nikienda baraza la mitihabi nitakuta matokeo ya mtoto wangu..wenye ufahamu tusaidie hili..maana kama wazazi tuna sintofahamu nyingisijasema aangalie mtandaoni lama atakuta *W kwa sababu kituo kimefungiwa
mzazi nenda baraza matokeo ya mwanao yapo tena kwa ukamilifu wake kulingana na alichopata......
humu utapigiwa kelele tu... FATILIA MATOKEO YA MWANAO BARAZA...
Anaepaswa kwenda ni mwenye shule(meneja au mkurugenzi) siyo ww mzazi,matokeo yanatolewa kupitia shule siyo kila mwanafunziInaukweli..kuwa nikienda baraza la mitihabi nitakuta matokeo ya mtoto wangu..wenye ufahamu tusaidie hili..maana kama wazazi tuna sintofahamu nyingi
huyu jamaa shule zake zote zimefutiwa matokeo, kuna nini?Jasson Rweikiza
Wizi uliokithirihuyu jamaa shule zake zote zimefutiwa matokeo, kuna nini?
Sasa namba ya darasa la saba si wanayo? Ambacho hawana ni matokeo ?Kwa sasa inaathari kubwa, kwa maana ya kwamba mtihani wa kidato cha pili namba itakayotumika kujisajili ni ile ya mtihani wake wa darasa la saba. Hii ni kama ambavyo namba ya kidato cha nne inavyotumika katika vyuo na bodi ya mikopo. Hivyo ni bora zaidi kuchelewa kwa mwaka huu mmoja kuliko kufika kidato cha pili ukajajutia baadae.