HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hiyo ni kwa wanafunzi 500 ambao matokeo yao yalishikiliwa.Wamesema watafungua matokeo Kwa wataokutwa hawana hatia wakikutwa na hatia watarudia mtihani ndo Iko hivo
Hizo shule ni kwamba zimefutiwa matokeo kabisa