Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Aende form one bila ku reseat std 7?Cku hizi kuna kureseat mtihani wa Drs la Saba, cha kufnya mtoto aendelee na form one mwakan aka reseat
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende form one bila ku reseat std 7?Cku hizi kuna kureseat mtihani wa Drs la Saba, cha kufnya mtoto aendelee na form one mwakan aka reseat
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie ajira serikalini ambapo viambanisho ni pamoja na cheti cha std 7... Mimi kwenye faili langu la ajira hakuna hicho cheti.Waziri gani huyo?
Ajira kupitia digrii hutaipata bila kuonesha
Cheti Cha la Saba.
Form four.
Form six
Na mwisho cheti Cha digrii
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huu mfumo tokea uanze hakuna aloyemaliza Form 4Mpeleke tu private hakuna shida, mbn Kuna watu watoto wamesoma mok la sita na wakaenda form 1 mok 4 na chuo wamesoma na degree wanazo.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Ni mfumo mzuri sana, ranking inaharibu Elimu. Waende mbali zaidi ya hapo,NECTA mwaka huu hawajarank shule,nadhani Ili kupunguza udanganyifu,Yale mabango kuwa shule imekuwa ya kwanza yatapungua
Watu wanapewa mtihani kabisa.Duh!!
Kwahiyo unataka kuniambia walipata mitihani kabla wakawapa majibu watoto...
Hili haliwezekani mkuu
We zitaje zijulikane, kama mtu anafanya uharibifu hata akichafuka hakuna ubayahahahhhahaha shauri ako mkuuu ningekupa mifano ya shule chache ila ntazichafua zaidi mana hii nayo ni biashara.
Taifa kama Taifa la kesho.Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.
Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.
Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?
Naomba kuwasilisha.
Naomba kuuliza kma nakupata vizuri, Inamaana kwa mwaka 2023 anaweza kuanza kidato cha kwanza na ikifika muda wa kufanya mtihani wa darasa la saba anafanya ili aipate hiyo Prem namba? Je hiyo Prem namba ya mwaka huo wa 2023 itamruhusu kufanya mtihani wa kidato cha pili kwa 2024?Kwanza kumpeleka Private sio tatizo ila lazima afanye mtihani wa STD 7. Huwezi kufanya mtihani wa Form 2 kama hukufanya mtihani wa STD 7, kwakuwa wamefutiwa matokeo maana yake ni kama hajafanya mtihani sasa.
Mfumo wa sasa hivi mtoto akimaliza STD 7 kuna namba anapewa na ili asajiliwe kufanya mtihani wa Form 2 lazima namba ile utumike, kinyume chake hawezi kamwe.
Wanaokuambia mpeleke tu, wakuambie mwakani wakat anaendelea na huko Secondary basi sharti arudie mtihani wa la Saba, hakuna kona hapo.
Anaruhusiwa kuanza kidato cha kwanza vizur tu, kwa maana mtu anaweza kufanya From 1 and 2 kwa mwaka kama uwezo anao kama ilivyo kwa QT tuNaomba kuuliza kma nakupata vizuri, Inamaana kwa mwaka 2023 anaweza kuanza kidato cha kwanza na ikifika muda wa kufanya mtihani wa darasa la saba anafanya ili aipate hiyo Prem namba? Je hiyo Prem namba ya mwaka huo wa 2023 itamruhusu kufanya mtihani wa kidato cha pili kwa 2024?
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.
Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.
Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?
Naomba kuwasilisha.
Wamefungia shule kwa sababu ya udanganyifu wa mwanafunz kweny mtihani...hapa unamshaur aende baraza kuangalia matokeo ya mwanae...iv inamake sense kwel?kwamba baraza watafanya ku asume kwamba mwanae hakufanya udanganifu?sijasema aangalie mtandaoni lama atakuta *W kwa sababu kituo kimefungiwa
mzazi nenda baraza matokeo ya mwanao yapo tena kwa ukamilifu wake kulingana na alichopata......
humu utapigiwa kelele tu... FATILIA MATOKEO YA MWANAO BARAZA...
Inauma sanaa aysee....kuna mmoja mwaka jana kafutiwa nyamuge...kahamishiwa musabe napo wamepiga piniYaani mwaka jana walifanya mitihani darasa la saba wakafutiwa na mwaka huu napo wamefanya wakafutiwa? Yaani mtoto mmoja kafutiwa Mara mbili ndani ya miaka miwili?
Kabxaa...kuna shule ilikuwa ya 9 kitaifa mwaka juzi...magari yote ya shule yaliweka mabango yaliyosomeka 9 kitaifa...mwaka uliofuata kaangukia pua....wizi ni mwingi.sanaa kweny hizi private..hasa za watu binafsi..atleast za kanisa kidogo kuna uhalisiaNi mfumo mzuri sana, ranking inaharibu Elimu. Waende mbali zaidi ya hapo,
Kwani wakifutiwaga hakuna room ya kuresit?Hakuna madhara Kama umeweze kumsomesha private English medium primary bas endelea nae tu, kimbe kimbe kipo form 4 sasa akifutiwa uko ndio uchanyikiwe
Hao watoto kisheria ni kama walibakwa na hao wenye shule. Kumshirikisha mtoto kwenye uhalifu ni kosa sababu hakufanya kwa ridhaa yake. Serikali ishughulike na hao wenye shule kwa kosa la "kubaka" hao watoto.Saana na inawasumbua sana watoto ... naona wameingizwa kwenye mchezo mchafu kwa manufaa ya wenye shule ...