Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ilikua zamani kipindi hakuna prem noMpeleke tu private hakuna shida, mbn Kuna watu watoto wamesoma mok la sita na wakaenda form 1 mok 4 na chuo wamesoma na degree wanazo.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Mwanafunzi ufutiwa matokeo tu endapo yeye kashiriki kwenye udanganyifu yaan amekamatwa na kitu ambacho kinaashiria wizi wa mtihan mfno kushikwa na nondo, kuwa na picha tofauti...Hakuna kitu unachoelewa mkuu jitahidi uulizie kwa watu wanaojua,angalia matokeo ya 2021 ndiyo utaelewa ninachozungumzia
Umeishia kulaumu bila kutoa kwa ufasaha nini anatakiwa afanye. Ukiishia kulaumu na kuponda bila kutoa way forward unakuwa huna tofauti na unayemlaumu.Watu wengi humu wanajifanya wajuaji Sana wakati wanayoyaongea ni uongo.Siku hizi kuanzia shule ya msingi wako kwenye mfumo mmoja wa serikali.Kumhamisha mtoto shule ya private ni lazima kupita ngazi zote kwa mujibu wa serikali,unaanzia shuleni,unaenda kati hadi halimashauri.Nyie mdanganyeni wakati anaomba ushauri.Mifano mnayotoa ni ya Zamani.
Umeeleza vizuri sana... Nina swali je kwa sasa hivi ule utaratibu wa mwanafunzi kurudia darasa upo? Yaani kama amefeli au kutofanya mtihani anaweza mwakani akarudia darasa la 7 na mwisho wa mwaka akafanya mitihani?Kwanza kumpeleka Private sio tatizo ila lazima afanye mtihani wa STD 7. Huwezi kufanya mtihani wa Form 2 kama hukufanya mtihani wa STD 7, kwakuwa wamefutiwa matokeo maana yake ni kama hajafanya mtihani sasa.
Mfumo wa sasa hivi mtoto akimaliza STD 7 kuna namba anapewa na ili asajiliwe kufanya mtihani wa Form 2 lazima namba ile utumike, kinyume chake hawezi kamwe.
Wanaokuambia mpeleke tu, wakuambie mwakani wakat anaendelea na huko Secondary basi sharti arudie mtihani wa la Saba, hakuna kona hapo.
Inaruhusiwa kurudia darasa la 7 mkuu? Utaratibu ukoje?Hapa watu wasikudanganye humu, mifumo ya elimu imebadilika namba aliyofanyia mtihani la 4 itamruhusu afanye mtihani wa la Saba
Na ya la Saba itamruhusu afanye mtihani wa form 2
Na ya form 2 itamruhusu afanye mtihani wa form4 kama akitaka kurndelea six kama atafaulu au chuo hizo namba za form 4 zitamruhusu aenedelee huko hamna mkato. Hapa dogo arudie tu apige Pepa ya std 7
Wasimamizi hawajui lolote kivipi mkuu!?hawajui lolote mkuuu.......
Umewahi kuona mtu yeyote kwa miaka hii miwili hakumaliza la saba na kaenda sekondari? Nijuavyo kwa Sasa ili apande kwenye prems lazima uweke no ya psle.Hakuna uchawi hapo, anaenda sekondari kama kawaida, ishu ingrkuwa sisi ambao tunategemea mtoto afaulu tuuze kuku kumpatia pesa asome sekondari ya serikali
Watu wanachukulia poa cheti/namba ya elimu ya msingi ila hii kitu ina cost sana maana kuna wakati vinatumika kwenye uraia au kujua mtu alipokulia, in short kina mambo mengi nyeti yasiyohusu elimu hata.Umewahi kuona mtu yeyote kwa miaka hii miwili hakumaliza la saba na kaenda sekondari? Nijuavyo kwa Sasa ili apande kwenye prems lazima uweke no ya psle.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Nisiwe mnafiki, kwa miaka ya karibuni sijafatilia, wamebadili utaratibu?Umewahi kuona mtu yeyote kwa miaka hii miwili hakumaliza la saba na kaenda sekondari? Nijuavyo kwa Sasa ili apande kwenye prems lazima uweke no ya psle.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
wizi wa mitihani wa kutumia wasimamizi ni wakizamani sana na huo sio wizi ni udanganyifu na mara nyingi unatokea ndani ya chumba cha mitihani (lazima ujue tofauti ya wizi na udanganyifu)Wasimamizi hawajui lolote kivipi mkuu!?
Mtu binafsiHiyo shule ni ya kanisa?
Dah, watu wa Kanda ya ziwa so ndio ??Ni watu wa Kanda ya Ziwa mlizoea kudanganya.
Kama B ndo jibu sahihi wafanyaje?Naungana na serekali kufungia matokeo baadhi ya shule serekali ipo sahihi kabisa uhuni wa shule za binafsi haukubaliki kabisa, maana haiwezekani ndani ya darasa moja, swali la kwanza wanafunzi wote wajaze B, swali la pili wanafunzi wote wajaze C swali la tatu darasa ZIMA wakose, swali la nne wanafunzi wote wapate, alkadhalika hivyo hivyo kwa maswali yote 25. This is evils.
NECTA mwaka huu hawajarank shule,nadhani Ili kupunguza udanganyifu,Yale mabango kuwa shule imekuwa ya kwanza yatapunguaAisee pole Sana inauma mno ku-invest kwa mtoto ukiamini anapewa elimu Bora kumbe Kuna wengine wanafanya ukora ili waongeze "umaarufu" kwa ajili ya kuwateka wateja...
Mimi nachoweza kusema we muangalie huyo mtoto kwa jicho la huruma n mwanao achana na hao washenzi kikubwa fanya mpango arudi kufanya mtihani wa darasa la Saba ili ndoto yake ya kupata elimu Bora isife....
Kila la kheri mkuu na hamna hatari yyt ile
Duh!!udanganyifu hifanywa na vishule vyetu hivi.... wizi wanafanya giants na wana hadi mawakala wa hizo kazi kuanzia mwanzo (maandalizi) ya mtihani hadi mwisho wanajua....
Utaratibu mzuri sana huu!NECTA mwaka huu hawajarank shule,nadhani Ili kupunguza udanganyifu,Yale mabango kuwa shule imekuwa ya kwanza yatapungua
hahahhhahaha shauri ako mkuuu ningekupa mifano ya shule chache ila ntazichafua zaidi mana hii nayo ni biashara.Duh!!
Kwahiyo unataka kuniambia walipata mitihani kabla wakawapa majibu watoto...
Hili haliwezekani mkuu
Hili tatizo pia linasababishwa na baraza la mitihani. Haiwezekani kabisa utunge mtihani wote maswali yawe ni multiple choices... Ilitakiwa mtihani kama una sections 3 basi multiple choice iwe ni only one section na sections nyingine ziwe ni za kujaza majibu...Naungana na serekali kufungia matokeo baadhi ya shule serekali ipo sahihi kabisa uhuni wa shule za binafsi haukubaliki kabisa, maana haiwezekani ndani ya darasa moja, swali la kwanza wanafunzi wote wajaze B, swali la pili wanafunzi wote wajaze C swali la tatu darasa ZIMA wakose, swali la nne wanafunzi wote wapate, alkadhalika hivyo hivyo kwa maswali yote 25. This is evils.