Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Relax. Hakuna shida mpeleke shule za binafsi.
Sijawahi kusikia wanaulizia cheti cha darasa la saba
 
Watu wengi humu wanajifanya wajuaji Sana wakati wanayoyaongea ni uongo.Siku hizi kuanzia shule ya msingi wako kwenye mfumo mmoja wa serikali.Kumhamisha mtoto shule ya private ni lazima kupita ngazi zote kwa mujibu wa serikali,unaanzia shuleni,unaenda kati hadi halimashauri.Nyie mdanganyeni wakati anaomba ushauri.Mifano mnayotoa ni ya Zamani.
 
Watu wengi humu wanajifanya wajuaji Sana wakati wanayoyaongea ni uongo.Siku hizi kuanzia shule ya msingi wako kwenye mfumo mmoja wa serikali.Kumhamisha mtoto shule ya private ni lazima kupita ngazi zote kwa mujibu wa serikali,unaanzia shuleni,unaenda kati hadi halimashauri.Nyie mdanganyeni wakati anaomba ushauri.Mifano mnayotoa ni ya Zamani.
Naomba ushauri wako mkuu
 
Kwanza kumpeleka Private sio tatizo ila lazima afanye mtihani wa STD 7. Huwezi kufanya mtihani wa Form 2 kama hukufanya mtihani wa STD 7, kwakuwa wamefutiwa matokeo maana yake ni kama hajafanya mtihani sasa.
Mfumo wa sasa hivi mtoto akimaliza STD 7 kuna namba anapewa na ili asajiliwe kufanya mtihani wa Form 2 lazima namba ile utumike, kinyume chake hawezi kamwe.

Wanaokuambia mpeleke tu, wakuambie mwakani wakat anaendelea na huko Secondary basi sharti arudie mtihani wa la Saba, hakuna kona hapo.
 
Hapa watu wasikudanganye humu, mifumo ya elimu imebadilika namba aliyofanyia mtihani la 4 itamruhusu afanye mtihani wa la Saba

Na ya la Saba itamruhusu afanye mtihani wa form 2

Na ya form 2 itamruhusu afanye mtihani wa form4 kama akitaka kurndelea six kama atafaulu au chuo hizo namba za form 4 zitamruhusu aenedelee huko hamna mkato. Hapa dogo arudie tu apige Pepa ya std 7
 
Haina athari ndugu. Anakosa tu admission shule za serikali.
Anaendelea sekondari kama kawaida na haitadhuru kufanya mitihani ya taifa ya kidato cha 2 na kuendelea.
Muwe mnafuatulia kanuni na taratibu kwa Sasa hakuna kitu kama hicho

Shule ya msingi utaratibu wa namba huanza toka std 4 ambayo itampa ruksa kufanya mtihan wa std 7 Kisha mtihan wa std 7 utampa ruksa kufanya mtihan wa FORM 2

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Sheikh kishki kawapigia kelele sana walimu wake leo wa al hikma
Aliwaambiaje. Waache njaa au..
Kwani walionesha watoto paper??


Za chini chini ni kwamba Hawa watoto walifauku kupitiliza ndio sababu kuu. Wanaendelea kuchunguza wakiona walifauku Kwa uwezo wao watawawchia tokeo lao.

Wakiona was a extra ordinary

Watapewa Paper wafanye then kwisha
 
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.

Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.

Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?

Naomba kuwasilisha.
Nitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
 
Naungana na serekali kufungia matokeo baadhi ya shule serekali ipo sahihi kabisa uhuni wa shule za binafsi haukubaliki kabisa, maana haiwezekani ndani ya darasa moja, swali la kwanza wanafunzi wote wajaze B, swali la pili wanafunzi wote wajaze C swali la tatu darasa ZIMA wakose, swali la nne wanafunzi wote wapate, alkadhalika hivyo hivyo kwa maswali yote 25. This is evils.
 
Nitumie namba yako inbox. Nipo naunda group la Whatsapp la wazazi wa watoto wote ambao wamefutiwa matokeo. Tusimame pamoja na kuongea kwa sauti moja
Sawa kabisa mkuu
 
Naungana na serekali kufungia matokeo baadhi ya shule serekali ipo sahihi kabisa uhuni wa shule za binafsi haukubaliki kabisa, maana haiwezekani ndani ya darasa moja, swali la kwanza wanafunzi wote wajaze B, swali la pili wanafunzi wote wajaze C swali la tatu darasa ZIMA wakose, swali la nne wanafunzi wote wapate, alkadhalika hivyo hivyo kwa maswali yote 25. This is evils.
Hakuna mzazi anayeweza unga mkono uhuni huu, ikithibitika wafungiwe kabisa, I wazazi na watoto ni whanga katika jambo hili, yaani sio fair kwa mzazi ambaye hana Idea na hata watoto wengine hawana Idea ama ridhaa katika mazingira kama hayo ...
 
Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.

Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.

Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?

Naomba kuwasilisha.
Aisee pole Sana inauma mno ku-invest kwa mtoto ukiamini anapewa elimu Bora kumbe Kuna wengine wanafanya ukora ili waongeze "umaarufu" kwa ajili ya kuwateka wateja...
Mimi nachoweza kusema we muangalie huyo mtoto kwa jicho la huruma n mwanao achana na hao washenzi kikubwa fanya mpango arudi kufanya mtihani wa darasa la Saba ili ndoto yake ya kupata elimu Bora isife....
Kila la kheri mkuu na hamna hatari yyt ile
 
Back
Top Bottom