Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kwanini hujampeleka Shule ya Mwamedi pale Mtaa wa Kalenga Upanga?Najivunia shule anayosoma dogo. Rocken Hill Kahama Oyeeeeeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hujampeleka Shule ya Mwamedi pale Mtaa wa Kalenga Upanga?Najivunia shule anayosoma dogo. Rocken Hill Kahama Oyeeeeeeee
Msipende mikumbo mnapotafutia watoto shule za kwenda kusoma kuna vingi vya kuchunguza kabla hujaamua kumpeleka hapo mtotoNdugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.
Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.
Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?
Naomba kuwasilisha.
Hauwezi kupata kazi jeshini bila cheti cha la 7Kwani vyeti vya darasa la 7 vinatambulika tena kwenye kuonesha elimu au uombaji wa ajira. Nilisikia waziri alisema havitambuliki
St.Marie iko mkoa gani vile?Ni watu wa Kanda ya Ziwa mlizoea kudanganya.
Hicho sio kigezo cha kufutiwa watakuwa waliwekewa mtego, ila kwa sasa wapo wanabadiri majina ya shule na kusajiri upya, badara ya st.john utakuta shule inaitwa New st.john na usajiri ni miezi sita utakuwa umekamilika na hiyo new st.john mmiliki ni mtu mwingine sijui hapo sheria zinasemaje.Naungana na serekali kufungia matokeo baadhi ya shule serekali ipo sahihi kabisa uhuni wa shule za binafsi haukubaliki kabisa, maana haiwezekani ndani ya darasa moja, swali la kwanza wanafunzi wote wajaze B, swali la pili wanafunzi wote wajaze C swali la tatu darasa ZIMA wakose, swali la nne wanafunzi wote wapate, alkadhalika hivyo hivyo kwa maswali yote 25. This is evils.
Zaidi shule husika zigaramie gharama za watoto hao kurudia mitihani endapo serikali itaridhia. Jamani watoto wasiharibiwe ubaadae kwa makosa ya walimu wao na wamiliki wa shule.Kwa kweli kwa hili selikali ingepitia upya sheria ya kuwafutia watoto matokeo kwa makosa yaliyofanywa na uongozi wa shule(sababu watoto si watu wazima na ingelikuwa ni watu wazima wote wasingeliingia kwenye mkumbo huo)...Mapendekezo yangu.
1. Serikali iingie gharama kuwapa watoto wote wa aina hiyo mtihani mwingine
2. Serikali ichukie hatua kali ikiwa ni pamoja na kuzitoza faini kubwa au kuzifungia shule zitakazobainika kufanya udanganyifu(zikifungiwa mbili ,tatu kwa miaka kuanzia 6-12 nyingine hazitajaribu kufanya upuuzi huo sababu mbali na kutoa huduma ya elimu wamiliki wa shule hizo wanaziendesha kibiashara) au au vyote kwa pamoja.
Nafikiri shule za private wanamchukua mtoto anapofaulu mtihani wao wa kujiunga na shule yao na si matokeo ya mtihani wa darasa la saba. Na pia haitaathiri mitihani mwingine ya sekondari au chuoni.Ndugu zangu, usiku wa leo sijalala vizuri, nimefadhaishwa sana na kitendo cha mwanangu wa darasa la saba aliyekuwa anasoma shule ya St Anne Marie academy ya jijini Dar es Salaam kufutiwa matokeo. Yaani nina hasira kali sana kiasi sijajua nichukue hatua gani dhidi ya uongozi wa shule.
Naombeni tushauriane, kama wewe siyo mhanga wa jambo hili unaweza pita kimya kimya tu maana kwa sasa sihitaji kejeli, nahitaji faraja na ushauri.
Hivi mtoto ataenda private? Je, haiwezi kuwa na athari kwenye mitihani ya form four?
Naomba kuwasilisha.
Hauwezi kupata kazi jeshini bila cheti cha la 7
Zaidi shule husika zigaramie gharama za watoto hao kurudia mitihani endapo serikali itaridhia. Jamani watoto wasiharibiwe ubaadae kwa makosa ya walimu wao na wamiliki wa shule.
Kwa Sasa usajili wa mtoto kidato Cha nne unaanzia std 7 ndugu hvyo mtoto wako kama hajamaliza std asahau kuhusu mtihaniCheti ya darasa la saba ni kama cheti ya kipaimara tu.. hakina maana yoyote... Peleka mtoto private... Au nenda wizaran wanaweza kukusaidia kumpeleka shule mtoto
Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
Kaka hyo ilikua zamani Sasa hivii itahitajika prim no ya std 7 kwanza hata huko private,na tsm 9 yake inaenda kule privateHakuna uchawi hapo, anaenda sekondari kama kawaida, ishu ingrkuwa sisi ambao tunategemea mtoto afaulu tuuze kuku kumpatia pesa asome sekondari ya serikali
Sawa nashukuru kwa kunifungua... Nilikuwa cjui haya mambo... Kumbe mambo yamebadilika... Asante sanaKwa Sasa usajili wa mtoto kidato Cha nne unaanzia std 7 ndugu hvyo mtoto wako kama hajamaliza std asahau kuhusu mtihani
Ile prim no yake ya std 7 itahitajika form two na form four pia
Ndo sera ya elimu ya Sasa hvyo std 7 ni lazima
Mimi ni mwalimu naongea uhalisia
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio kitambulisho chake Ile Prim no Sasa hivii mfumo umechange kabisaaaa bila std 7 matokeo hatakubaliwa sekondari maana form two pale Kuna prim zinajazwa za std 7 kama hana anarudi tena primary Drs la afanye mtihani wa la 7Waalimu wa sekondari waje watuambue nini umuhimu wa PREM NUMBER ambayo mtoto anatokanayo shule ya msingi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Umemaliza kabisaaa Ndo ukweli ulivyo Sasa hvWatu wengi humu wanajifanya wajuaji Sana wakati wanayoyaongea ni uongo.Siku hizi kuanzia shule ya msingi wako kwenye mfumo mmoja wa serikali.Kumhamisha mtoto shule ya private ni lazima kupita ngazi zote kwa mujibu wa serikali,unaanzia shuleni,unaenda kati hadi halimashauri.Nyie mdanganyeni wakati anaomba ushauri.Mifano mnayotoa ni ya Zamani.
Toka 2018 dear magu ndo amekuja kuchange everything nilihamisha mtoto ndo ilikua hvyooo
Wanafutiwa matokeo nduguNinachojua NECTA wamefungia kituo cha mitihani (sio shule) fatilia matokeo yake yapo na utayapata.
usipotoshwe humu kwa sasa sajili za wanafunzi zinafanyika kuanzia primary na inahama kila mwaka na hata unapomuhamisha shule ni mfumo sio enzi zetu.
narudia Matokeo ya mwanao yapo na ukifatilia unayapata ni kituo cha mitihani ndicho kimefungiwa (sio shule)
Hii shule Wana michezo ya rafu sana hii no wonder wamefungiwaHakuna matokeoView attachment 2434538View attachment 2434539
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Watoto walipaswa waseme kama alivyofanya Iptisam vileIla Mimi kama mwalimu sijaona mantiki ya serikali kuwawajibisha watoto kwa makosa ya wasimamizi wa mitihani pamoja na wamiliki wa shule serikali iangalie namna ya kuwasaidia watoto hawa ikiwezekana warudie kufanya mtihani kwa gharama za waliopelekea kufutiwa matokeo yao.
Poleni sana Wahanga
NECTA si wajingaHicho sio kigezo cha kufutiwa watakuwa waliwekewa mtego, ila kwa sasa wapo wanabadiri majina ya shule na kusajiri upya, badara ya st.john utakuta shule inaitwa New st.john na usajiri ni miezi sita utakuwa umekamilika na hiyo new st.john mmiliki ni mtu mwingine sijui hapo sheria zinasemaje.