Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

Kwani waliogundua hii janjajanja sio wasimamizi? Je wasimamizi wangehusika wasingefukia mashimo???
 
Kama B ndo jibu sahihi wafanyaje?
Kama B ni sahihi hakuna tatizo, hayo ndio matarajio ya Baraza. Tatizo ni pale wanapoandika jibu moja lisilo sahihi mfano watahiniwa wote waandike A , wakati A ni kosa....!!!
 
Duh!!
Kwahiyo unataka kuniambia walipata mitihani kabla wakawapa majibu watoto...
Hili haliwezekani mkuu
Majibu yaliandaliwaje? Walichomoa Pepa na kupeleka nje ya chumba Cha mtihani au???
 
Waasisi wa hii mambo ni wakubwa katika ngazi mbalimbali ambao Kila Leo hutoa matamko kutishi walimu wakuu kuwapokonya nafasi shule zikiwa za mwisho.... Hii ilipelekea wengi kujiingiza kwenye uhalifu na matokeo yake kukuta wasio jua kusoma na kuandika wakiingia sekondari.!!!
I'll
 
Haya Waambieni wajiandae kufanya mitihani Tarehe 21-22

Huo mtihani ni wa kukomolewa
 
POLENI SANA PRIVATE MPELEKE

ATHARI HAMNA MFANO MIMI NILISOMA UGANDA NIKAISHIA LA NNE NA NIKARUDI HAPA TZ NIKASOMA HADI CHUO NA BAADHI YA KAZI ZA SERIKALI NIMEFANYA NA CHUO MKOPO NILIPEWA

NB make sure mwanao anapata cheti Cha lasaba
Unamshauri atafute cheti feki badala ya kumwambia arudie la 7?
 
Je mtoto anaweza kufanya mtihani wa darasa la 7 kama mtahiniwa binafsi? Je kuna uwezekano kwa mtoto wa mwenzetu hapa, kuendelea na masomo ya kidato cha kwanza, halafu akajisajili kama mtahiniwa binafsi ili mwakani afanye tena mtihani wa la 7 akiwa kidato cha kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…