Wazazi wenye Watoto wa Secondary wa Shule za Dar Kagueni Mashavu ya Watoto wenu kwani kuna Mmoja nimemuadabisha Kimara Stendi Juu Darajani leo

Wazazi wenye Watoto wa Secondary wa Shule za Dar Kagueni Mashavu ya Watoto wenu kwani kuna Mmoja nimemuadabisha Kimara Stendi Juu Darajani leo

Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nachukia kama Watoto wa Shule ( Watoto zetu ) kuwa na tabia za Matusi Matusi tena Hadharani ambako Watu wazima tupo au tunapita...
Hongera kwa kazi nzuri! Watoto wanayaokota na kuyatumia matusi kutoka mitaani, nyumbani hawawezi kuwatukania Mama zao.
 
Dawa ni kuwagonga tu hiki kizazi cha singeli

Ova
 
Game changer/street changer umefanya la maana sana kumpa keleb moja matata, watoto wadogo wanatukana sana sijui wanajifunzia wapi.

Wazazi nao waache matusi mbele ya watoto
 
Hao watoto ndio wanaoiba simu za wazazi wao nakuja kuingia jamii forum nakuanza kututukana.
 
Siku watakuchoma spoku/spoke za mapaja ndio utajuta.

Ukija Arusha fata mambo yako maana watoto hao wanatembea na pisto (pistol), bisibisi (screw driver) na spoke (spoku) hawakawii kukutoa upepo (kukutoboa tumbo).
Vijana wa Arusha bana. Huwa mnawaovarrate vibaka wenu bila sababu za msingi. Mtu nimezaliwa na kukulia Musoma, tunawindana na sime na mishale, alafu eti nikutane na bwanamdogo yuko na bisibisi aniletee habari nyeusi?

Namfua vizuri kabisa na hiyo bisibisi yake, wala hanigusi nayo!
 
Siku watakuchoma spoku/spoke za mapaja ndio utajuta.

Ukija Arusha fata mambo yako maana watoto hao wanatembea na pisto na bisibisi (screw driver) na spoke (spoku) hawakawii kukutoa upepo (kukutoboa tumbo).
Ubabe wangu huu unaishia Dar es Salaam tu Mkuu. Arusha naoajua, nimeishi Kaloleni na Muanzini ila ndiyo Mkoa ninaouogopa mno.

Miaka kama 10 hivi iliyopita nilienda huko na nilipofika Nyege nazo zilinipanda ghafla nadhani pia kutokana na Hali ya Hewa yao yenye Kukushawishi Kubandua kwa Mwanaume au Kubanduliwa kwa Mwanamke.

Hivyo nilivyopata tu Lodge nikakodi Taxi kwenda Kununua Migoma ( Malaya ) down town huku Mkuyenge / Mkurudungu wangu Tukuka ukiwa Umedinda / Umesimama kwa Hasira zote.

Nilipofika eneo la Tukio nikamwita Demu Mmoja na Kupatana nae hadi Monie ( Asubuhi ) ni Tsh 50,000/= za BOT na nikakubali.

Wakati nataka kutoa Advance ili Mbunye iingie Garini ili ijipoze Kwanza kwa Shughuli yangu Pevu ya Usiku Kucha na Kuitolea Jasho Gongo Hamsini ( Tsh 50,000/= ) mara nikaona Kiunoni kumbe alikuwa na Bonge la Kameme ( Kisu ) hali ambayo haikunitisha tu pekee bali ilinifanya pia Mkurudungu / Mkuyenge wangu nao Usizi / Usinyae ghafla kama Injini mbovu za Ndege za ATCL zinavyofanya.

Ikanilazimu nitumie Akili Kubwa kwa Kumzuga na kumwambia amuandae na Mwenzake kwani tuko Wawili na naenda na Dereva wa Taxi kubadili Pesa tunarudi kuwapitia na tulipoondoka tu pale nikamwambia Dereva anirejeshe Lodge nikalale kwani Malaya wa Arusha siwawezi na nilivyo Mbahili wanaweza kunifanya Bucha Kitandani na GENTAMYCINE nikawa Historia hapa duniani.

Nimeshajizoelea Malaya wetu wa hapa Dar es Salaam ambao unaweza hata Kuwakopa Mbunye zao na ukawalipa ukipata japo ukipata Gono na Kaswende Gharana ya Kujitibu huwa inazidi Pesa tuliyokope Mbunye zao.

Shikamooni wana Arusha mlioko JF.
 
Madogo wapo kwenye ile stage iliobatizwa majina mengi kama ujuha/puberty/Adolescence/Balehe/Foolish age ambapo wakimaliza 4m4 ndo hao wakijiunga humu JF ni full matusi
Ila wamezidi hawa watoto kwa matusi sio uongo, kuna siku mtaani tulitanguzana mie na jirani ni dada mtu mzima kdg, sasa mbele walikua wanafunzi wa kiume wa sec, sijui walikua wanaongelea nn, maraa ghaflaa matusi ya nguoni kwa jinsia ya kike yalianza kusikika,

Tulijivunga hivyo hivyo had tulivyowapitaaa, sio kwa matusi Yale afu wako wakavuu wengine wanasapotia. Wanaboa mnoo
 
Ila wamezidi hawa watoto kwa matusi sio uongo, kuna siku mtaani tulitanguzana mie na jirani ni dada mtu mzima kdg, sasa mbele walikua wanafunzi wa kiume wa sec, sijui walikua wanaongelea nn, maraa ghaflaa matusi ya nguoni kwa jinsia ya kike yalianza kusikika,

Tulijivunga hivyo hivyo had tulivyowapitaaa, sio kwa matusi Yale afu wako wakavuu wengine wanasapotia. Wanaboa mnoo
Siku zingine ukiwaona nipigie Simu ili niwatimbie kwani Mimi GENTAMYCINE ndiyo Bingwa ( Mngwena ) wa Kurekebisha tabia mbaya, sugu na korofi za Watoto ( hasa Wanafunzi wa Secondary Schools ) hapa Mkoa wa Dar es Salaam.
 
Siku zingine ukiwaona nipigie Simu ili niwatimbie kwani Mimi GENTAMYCINE ndiyo Bingwa ( Mngwena ) wa Kurekebisha tabia mbaya, sugu na korofi za Watoto ( hasa Wanafunzi wa Secondary Schools ) hapa Mkoa wa Dar es Salaam.
Hawana maadili hata kidogo hasa hawa wa kiume.
 
Vijana wa Arusha bana. Huwa mnawaovarrate vibaka wenu bila sababu za msingi. Mtu nimezaliwa na kukulia Musoma, tunawindana na sime na mishale, alafu eti nikutane na bwanamdogo yuko na bisibisi aniletee habari nyeusi?

Namfua vizuri kabisa na hiyo bisibisi yake, wala hanigusi nayo!
Unaweza kuwa na mapanga na bunduki na ukakalishwa tu mkuu
 
Ni sawa lakini si sawa, mtoto humjui umeamua kumpiga keleb cju kofi, what if angekata moto miguuni kwako?, ile zawadi yako angeenda kupokea nani?

Watu wanatembea na vifo vyao wakitafuta sababu tu wasepe. Next time kuwa makini bro.
 
Ni sawa lakini si sawa, mtoto humjui umeamua kumpiga keleb cju kofi, what if angekata moto miguuni kwako?, ile zawadi yako angeenda kupokea nani?

Watu wanatembea na vifo vyao wakitafuta sababu tu wasepe. Next time kuwa makini bro.
Asante kwa huu Ushauri wako mzuri ila kabla sijampiga Kibao ( Keleb ) nilipima Afya yake kwa Macho ( Kumpimia ) na Kugundua alikuwa Fiti hivyo nikamtia Adabu.

Mkuu mwenye Tatizo la Kiafya anaweza Kutunisha Kifua chake Kibabe huku anasema maneno machafu Kwangu? Anayeumwa anashinda Kimara Stendi Darajani Juu akiwa Kavalia Kisela ( hovyo ) wakati ni Mwanafunzi?
 
Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nachukia kama Watoto wa Shule ( Watoto zetu ) kuwa na tabia za Matusi Matusi tena Hadharani ambako Watu wazima tupo au tunapita...
Inamaana Genta huna Gari mjini hapa unatembea kwa miguu tu? [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ni vizuri kuadabisha, ila bahati mbaya unamchapa kibao mara poooop chini kaanguka anapiga miguu kakata moto, si mtihani tena huo?

Ni bora kumkabidhi hata serikali ya mtaa au kumuonya kwa maneno tu
 
Back
Top Bottom