Auz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2016
- 13,539
- 11,419
Hongera kwa kazi nzuri! Watoto wanayaokota na kuyatumia matusi kutoka mitaani, nyumbani hawawezi kuwatukania Mama zao.Hakuna Kitu ambacho GENTAMYCINE nachukia kama Watoto wa Shule ( Watoto zetu ) kuwa na tabia za Matusi Matusi tena Hadharani ambako Watu wazima tupo au tunapita...