MDA- Departments & Agencies; kila department na Agency zina mishahara tofauti tofauti hazifananijaman mshahara wa LGA ni bei gan ? na MDA ni ngap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MDA- Departments & Agencies; kila department na Agency zina mishahara tofauti tofauti hazifananijaman mshahara wa LGA ni bei gan ? na MDA ni ngap?
MDA- Departments & Agencies; kila department na Agency zina mishahara tofauti tofauti hazifanani
Hawa ndio huitwa wazee wa moja ya tatu[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Afisa Nyuki dah kmmmk walai cheo chenyewe tu kinaashiria we hata M hufiki.
Mishahara kote ni sawa wanatumia tgsjaman mshahara wa LGA ni bei gan ? na MDA ni ngap?
tgs daraja gan?Mishahara kote ni sawa wanatumia tgs
NitakutafutaKaribuni utumishi wakuu. Uadilifu ni muhimu sana katika kujenga nchi yetu pendwa Tanzania.
Kikubwa ni cheki namba tu. Karibuni sana wakuu.
Ana hoja mkuu labda hajaiweka sawa, ni kweli unachokisema ila mara nyingi hizo Idara na Mamlaka Serikali mara nyingi huwaga zinasimama zenyewe kama zenyewe ingawa zinapitia utumishi lakini tangazo lake linajitegemea, utakuta kama ni la MSD ni MSD tu, sio jumuishi kama hivi na iadara zingine.M-inistries; Afya, Elimu, Nishati etc
D-epartments; MSD, MNH, NIMR, etc
A-gency, TARI, eGA etc
popote anaingia either wizarani kama afisa na pia harmashauri kama afisa piaWakuu msaada wenu.
Afisa utamaduni msaidizi daraja la pili (assistant cultural officer 2) ni MDA au LGA?