Tetesi: Wazee kumshauri Tundu Antipas Lissu kupumzika au kuacha siasa kabisa

Tetesi: Wazee kumshauri Tundu Antipas Lissu kupumzika au kuacha siasa kabisa

ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Hata mie nimesikia mkuu wazee kutoka mahala zanzibar wapo na mpango wa kukutana na kiongozi mkubwa kumshauri asitie nia ya kugombea urais , sasa sijui itakuwaje
 
Baada ya kuepuka kifo, angeacha siasa kabisa, awaachie wenyewe. Taaluma yake inamtosha kuishi kwa raha.
wacha tusubiri wazee watamnusuru na siasa?

na ushauri mpya umempa atumie taaluma yake ya sheria kuendesha maisha yake itapendeza zaidi 🐒
 
Mimi mwenyewe naunga mkono aachane na siasa za CHADEMA aje CCM amalizie uzee wake vizuri
Kukubali kujiunga na CCM itakuwa ni sawasawa na: kijijini penu mkawa na jambazi linalotisha (CCM), linatisha na kuua watu hovyo. Halafu baadaye ushauriwe na watu kuwa usipambane na hilo jambazi badala yake uungane nalo ndiyo utakuwa salama, bila ya kujua jambazi huwa hana rafiki. Hata wote mkaamua kuungana nalo, lazima litamtafuta.miongoni mwenu wa kumfanyia ujambazi.
 
Kukubali kujiunga na CCM itakuwa ni sawasawa na: kijijini penu mkawa na jambazi linalotisha (CCM), linatisha na kuua watu hovyo. Halafu baadaye ushauriwe na watu kuwa usipambane na hilo jambazi badala yake uungane nalo ndiyo utakuwa salama, bila ya kujua jambazi huwa hana rafiki. Hata wote mkaamua kuungana nalo, lazima litamtafuta.miongoni mwenu wa kumfanyia ujambazi.
atakua ametumia ile kanuni rahisi sana ya mapambano ya,

if you can't fight them, join them 🐒
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
"kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....", wewe umejuaje kwani una uhusiano naye, acha hizo bana.
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Kajipange upya! 😂😂😂😂😂
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Mustakabali wa siasa, Nia ya Kugombea urais haiko mikononi mwa hao WAZEE WAPUMBAVU/WAJINGA.🤔🤔

Imo mikononi mwa an individual expected candidate/aspirant and particular polital party CHADEMA.

I have seen this post is full of imagination.
Have you ever asked those senior citizens WAZEE to tell SAA💯 to sease selling Tanzanian Mainland natural resources??

Have you ever asked the WAZEE to advise Saa 💯 to stop 2025 not to contest anymore??

All in all you have posted very stupidity stuffs.

Saa 💯 hatoshi, is not deserving to become president.

Anaweza mipasho sana refer story ya CHURA KIZIWI 🐸🐸
 
ni kwa upendo na mapenzi makubwa, wazee wa mkoa wa singida wanapanga kukutana, kujadili na kuamua mustakabali wa siasa za kijana wao mpendwa Tundu Antipas Lisu kutokana na hali yake ilivyo, hasa baada ya kuthibisha mwenyewe juu ya utimamu wa mwili wake, ukilinganisha na majukumu na kazi nzito, muhimu na ya maana sana anayoipambania, mathalani kua mwenyekiti wa Chadema...

kulingana na wazee hao, Lisu anapewa machaguo matatu tu,

ni ama apumzike na heka heka za siasa kuimarisha uimara wa utimamu wa mwili wake, ambapo umeumizwa sana...

au kuacha mapambano ya siasa kabisa ili kuzingatia na kupata fursa na muda mwingi zaidi wa kutosha kujikarabati ili kua madhubuti huko mbeleni....

au baadhi ya wazee wnapendelea kama anaendelea na siasa na hali aliyonayo basi ajiunge CCM kwani huko ataepukana na misukosuko mingi na kupata ahueni kubwa hata ya kudeal na masuala kadha wa kadha binafsi ya kimwili na kifamilia kwa amani na uhakika zaidi..

unadhani wazee hawa watafanikiwa kumshawishi kijana wao kukubali ushauri wao?

una maoni gani kama mwananchi, ingawa body language na tones ya Lisu pia inaashria kuna safari ya kuelekea CCM wakati wowote 🐒
Wazee wa CCM wakamshauri Lissu watakutana naye wapi?
 
UKIWAONA na hii speed ya kupost utumbo kila mara hapa JF huwa hawakawiii kutoweka, tuna mifano mingi ya jinsi yake, muache apaparike tu mwisho atatulia
library ya taarifa, uchambuzi, maelezo tetesi, habari za uhakika n.k sio rahisi kubabaika na mihemko ya wenye ghadhabu 🐒

daima ni kusukuma tu kila linalojiri au linalokusudia kujiri bila mbambamba ya mtu yeyote,

hakuna uchoyo, kusita wala kuringa kushare upendo kwa familia pana sana ya JF tena kwa wakati bila kuchelewa ili kuongeza ufahamu, uelewa na ujuzi wa masuala mbalimbali kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa...

kwani kuna ubaya ubwela wowote ndrugo nzango ?🐒
 
Back
Top Bottom