Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
Unamtakia nini wakati nyinyi CHADEMA kila wakati mnamsakama eti anauza wanyama? Ajikalie kimya. Wabaguzi nyieeeHivi Mzee kinana Yu wapi?
Kama ameshindwa kuongea,taarifa ya maandishi inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtakia nini wakati nyinyi CHADEMA kila wakati mnamsakama eti anauza wanyama? Ajikalie kimya. Wabaguzi nyieeeHivi Mzee kinana Yu wapi?
Kama ameshindwa kuongea,taarifa ya maandishi inatosha.
Mbali na ulemavu wake tunaoufahamu, atakuwa na ulemavu wa ubongo pia (mtindio)...yule kijana ni mpuuzi kwelikweli.
..kwanza hata yeye wazazi wake ni asili yao sio pwani.
.... kuna picha ya kiongizi flani enzi zile akiwa Magogoni amevalia vazi ambalo nafananisha na waliokua wanavaa masultani wale wa ki-Oman. Kuna clip ya kajamaa kanaitwa Jusa akizungumza kwa kejeli .. Tanganyika ... wapo wengi tu ... sasa basi, basic psychology inasema hivi ... KIBURI kilichopo kimejaa hisia za kibaguzi dhidi ya UAFRIKA. Mbaguzi yeyote ni MPUMBAVU haswaa! Sasa changanya UPUMBAVU uliokithiri, misplaced and arab-centric superiority in sheer falsehood, parochial vision na tumbonomics unapata kitu hapo.Issue ni awamu hii ina kiburi kuliko awamu zote. Huku kukomaza shingo si kwa kawaida hata kidogo
Hata sielewi kabisa huyu mama CCM ilimuokota wapi?Mkataba unaotuweka utumwani ndani ya nchi yetu haufai, ni aibu sana kwa nchi inayojiita ina zaidi ya miaka sitini tangu ipate uhuru.
Hiyo lugha ya kulemba na unafiki imejaa CCM. Ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo leo.Mwambie samia, mtaje, acha kulemba lugha, sema mkataba huu ni uuzaji wa tanganyika urekebishwe au futwe kabisa, Acha kulemba lugha
sijawahi hata siku moja kumsikia Samia akizungumza lugha ya namna hii uliyoiwasilisha hapa.Hatukupigania uhuru kisha kutangaza azimio la arusha kisha tukaweka misingi ya kujitegemea ndani ya katiba halafu miaka 60 baadae Samia na wenzie waje wagawe mali zetu kwa wageni kiubwete, kisha watwambie eti tumeshindwa kujiongoza na kujitegemea bandarini.
Tunataka rasilimali zetu zitumiwe vizuri kwa ajili yetu ni vizazi vijavyo, siyo kugawagawa tu!
umeandika uongo mtupuHawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Tusisubirie kusimulia wajuu, tufanye kituNitasimulia wajukuu namna awamu ya sita ilivyotuuza utumwani Dubei tena bure.
Umeuzwa kwa kutolewa bule, a.k.a zawadi kwa wajombaHiyo nne hebu weka wazi wameuza kiasi gani
Kwani wewe ujaona wamasai wanafurusha ili kumpa mwekezaji a.k.a mjombo maeneo ya kujivunia chochota anachotaka. Umeambia nimenufaika na nini ktk huo uwekezaji ktk mbuga za wanyamaUnamtakia nini wakati nyinyi CHADEMA kila wakati mnamsakama eti anauza wanyama? Ajikalie kimya. Wabaguzi nyieee
Akiwahi kumpiga vijembe JPM mwaka 2016 katika ukumbi wa Nkrumah pale UDSM kwamba JPM awe anawasikiliza wale anaowaongoza. Sasa wao ndio wako usukani. Wawasikilize wanaowaongoza. Siyo kukaa kimyaaaa.Hivi Mzee kinana Yu wapi?
Kama ameshindwa kuongea,taarifa ya maandishi inatosha.
You nailed it all mkuu. Sina swali tena..... kuna picha ya kiongizi flani enzi zile akiwa Magogoni amevalia vazi ambalo nafananisha na waliokua wanavaa masultani wale wa ki-Oman. Kuna clip ya kajamaa kanaitwa Jusa akizungumza kwa kejeli .. Tanganyika ... wapo wengi tu ... sasa basi, basic psychology inasema hivi ... KIBURI kilichopo kimejaa hisia za kibaguzi dhidi ya UAFRIKA. Mbaguzi yeyote ni MPUMBAVU haswaa! Sasa changanya UPUMBAVU uliokithiri, misplaced and arab-centric superiority in sheer falsehood, parochial vision na tumbonomics unapata kitu hapo.
Acha umbea mtoto wa kiume Wewe TISS wapo hawawezi kuruhusu jambo kama hilo. Heshimu taasisi za serikali mkuu.K
Kwani wewe ujaona wamasai wanafurusha ili kumpa mwekezaji a.k.a mjombo maeneo ya kujivunia chochota anachotaka. Umeambia nimenufaika na nini ktk huo uwekezaji ktk mbuga za wanyama
Nikupe za chini ya Kapeti, kuna tetesi kuwa kumegundulika kuna madini ghari sana humo mbugani na mwarabu yupo hapo kwa ajili hiyo
Mbona wameruhusu bandalri kuuzwa?Acha umbea mtoto wa kiume Wewe TISS wapo hawawezi kuruhusu jambo kama hilo. Heshimu taasisi za serikali mkuu.
Haijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.Mbona wameruhusu bandalri kuuzwa?
Watapingaje wakati mkui wa TISS ni mteule wa rais
Tumeuzwa kwasbabu mkataba unajieleza utakuwa wa milele, na hatutaweza kujitoa kwenye mkataba hata kitokee nini. Sasa kama hapo hatujauzwa ni nini?. Na kama una maslahi kwa nchi, Zanzibar hawataki hayo maslahi?? Na kwanini ziwe bandari zote za tanganyika??Haijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.
Acha umbea mtoto wa kiume Wewe TISS wapo hawawezi kuruhusu jambo kama hilo. Heshimu taasisi za serikali mkuu.
Wewe ni mbaguzi, hufaiHaijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.