Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Issue ni awamu hii ina kiburi kuliko awamu zote. Huku kukomaza shingo si kwa kawaida hata kidogo
.... kuna picha ya kiongizi flani enzi zile akiwa Magogoni amevalia vazi ambalo nafananisha na waliokua wanavaa masultani wale wa ki-Oman. Kuna clip ya kajamaa kanaitwa Jusa akizungumza kwa kejeli .. Tanganyika ... wapo wengi tu ... sasa basi, basic psychology inasema hivi ... KIBURI kilichopo kimejaa hisia za kibaguzi dhidi ya UAFRIKA. Mbaguzi yeyote ni MPUMBAVU haswaa! Sasa changanya UPUMBAVU uliokithiri, misplaced and arab-centric superiority in sheer falsehood, parochial vision na tumbonomics unapata kitu hapo.
 
Mwambie samia, mtaje, acha kulemba lugha, sema mkataba huu ni uuzaji wa tanganyika urekebishwe au futwe kabisa, Acha kulemba lugha
Hiyo lugha ya kulemba na unafiki imejaa CCM. Ndiyo iliyotufikisha hapa tulipo leo.
 
Hatukupigania uhuru kisha kutangaza azimio la arusha kisha tukaweka misingi ya kujitegemea ndani ya katiba halafu miaka 60 baadae Samia na wenzie waje wagawe mali zetu kwa wageni kiubwete, kisha watwambie eti tumeshindwa kujiongoza na kujitegemea bandarini.

Tunataka rasilimali zetu zitumiwe vizuri kwa ajili yetu ni vizazi vijavyo, siyo kugawagawa tu!
sijawahi hata siku moja kumsikia Samia akizungumza lugha ya namna hii uliyoiwasilisha hapa.
 
si
Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
umeandika uongo mtupu
 
K
Unamtakia nini wakati nyinyi CHADEMA kila wakati mnamsakama eti anauza wanyama? Ajikalie kimya. Wabaguzi nyieee
Kwani wewe ujaona wamasai wanafurusha ili kumpa mwekezaji a.k.a mjombo maeneo ya kujivunia chochota anachotaka. Umeambia nimenufaika na nini ktk huo uwekezaji ktk mbuga za wanyama

Nikupe za chini ya Kapeti, kuna tetesi kuwa kumegundulika kuna madini ghari sana humo mbugani na mwarabu yupo hapo kwa ajili hiyo
 
.... kuna picha ya kiongizi flani enzi zile akiwa Magogoni amevalia vazi ambalo nafananisha na waliokua wanavaa masultani wale wa ki-Oman. Kuna clip ya kajamaa kanaitwa Jusa akizungumza kwa kejeli .. Tanganyika ... wapo wengi tu ... sasa basi, basic psychology inasema hivi ... KIBURI kilichopo kimejaa hisia za kibaguzi dhidi ya UAFRIKA. Mbaguzi yeyote ni MPUMBAVU haswaa! Sasa changanya UPUMBAVU uliokithiri, misplaced and arab-centric superiority in sheer falsehood, parochial vision na tumbonomics unapata kitu hapo.
You nailed it all mkuu. Sina swali tena.
 
K
Kwani wewe ujaona wamasai wanafurusha ili kumpa mwekezaji a.k.a mjombo maeneo ya kujivunia chochota anachotaka. Umeambia nimenufaika na nini ktk huo uwekezaji ktk mbuga za wanyama

Nikupe za chini ya Kapeti, kuna tetesi kuwa kumegundulika kuna madini ghari sana humo mbugani na mwarabu yupo hapo kwa ajili hiyo
Acha umbea mtoto wa kiume Wewe TISS wapo hawawezi kuruhusu jambo kama hilo. Heshimu taasisi za serikali mkuu.
 
Mbona wameruhusu bandalri kuuzwa?
Watapingaje wakati mkui wa TISS ni mteule wa rais
Haijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.
 
Haijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.
Tumeuzwa kwasbabu mkataba unajieleza utakuwa wa milele, na hatutaweza kujitoa kwenye mkataba hata kitokee nini. Sasa kama hapo hatujauzwa ni nini?. Na kama una maslahi kwa nchi, Zanzibar hawataki hayo maslahi?? Na kwanini ziwe bandari zote za tanganyika??
 
Mkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
20230707_222545.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha umbea mtoto wa kiume Wewe TISS wapo hawawezi kuruhusu jambo kama hilo. Heshimu taasisi za serikali mkuu.

Tiss wapi unao wazungumzia, hawa ambao waliruhus mikataba ya nyuma halaf baadae ikawa wa kifisadi? Come on
Tiss inahitaji menonzaid especialy ya kuwazuia wana siasa ambao wanaenda agaist country interest
 
Haijauzwa. Hizo ni kauli za kichochezi zilizoasisi na Mbowe mmachame, mlutheri, mchanga, mlevi, dj na mbaguzi mkubwa dhidi ya waislamu na wazanzibar. Haijauzwa hata kidogo. Mama alushakanusha alipokuwa mwanza.
Wewe ni mbaguzi, hufai
 
Hivi na maandamano makubwa kabisa ya kudai katiba mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2925 ni lini wakuu?
 
Back
Top Bottom