Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Mnafiki kuna sehemu kaegemea ila kiunafiki. Aibu Mzee kama huyu kujiteisha unafikiSijamuelewa kabisa mtu huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiki kuna sehemu kaegemea ila kiunafiki. Aibu Mzee kama huyu kujiteisha unafikiSijamuelewa kabisa mtu huyu.
Yule kijana ni hopeless sana halafu ni mchafu sana ananuka vibaya...nimewahi panda naye ndege aisee nilichefukwa mno!Mbali na ulemavu wake tunaoufahamu, atakuwa na ulemavu wa ubongo pia (mtindio).
Hiyo inaweza kusababishwa na ulemavu wa ngozi.Yule kijana ni hopeless sana halafu ni mchafu sana ananuka vibaya...nimewahi panda naye ndege aisee nilichefukwa mno!
Umerogwa,Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Hiyo ndio hulka ya watu wa pwani anapokuja mgeni nyumbani kwako anapoondoka huwa wanampa zawadiUmeuzwa kwa kutolewa bule, a.k.a zawadi kwa wajomba
Usipoteze muda mzee. Mambo yako mbali mno. UmechelewaMkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
View attachment 2680919
==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe
Ndiyo. Nimerogwa na nyie wagalatia wabaguzi sana mnaochukia waislamu na wazanzibar.Umerogwa,
404: Page Not Found
Kuliko Lissu Mwabukusi na Mbowe?Wewe ni mbaguzi, hufai
Huyu Mzee naye vipi aisee...Mkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
View attachment 2680919
==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.
Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe
Eti wewe ni Wakala wa DP world?Kuliko Lissu Mwabukusi na Mbowe?
Mimi ni mzalendo halisi wa Tanzania ambaye sitaki kuona tunaendelea kuwa na bandari yenye mifumo inayoruhusu akina ana Tibaijuka na magenge yao ya tics wanaendelea kucota pesa bila mpangilio.Eti wewe ni Wakala wa DP world?
Basi wanaonufaika na Bandari wako wengi maana mpaka Nachingwea, Itilima na Kibondo wapo wengi.Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Wewe ni msaliti wa Tanganyika?Mimi ni mzalendo halisi wa Tanzania ambaye sitaki kuona tunaendelea kuwa na bandari yenye mifumo inayoruhusu akina ana Tibaijuka na magenge yao ya tics wanaendelea kucota pesa bila mpangilio.
Kwani Tanganyika ilipozikwa mwaka 1964 april 26 kutokana na uroho wa kanisa kwa kumtumia Nyerere kuinyakua Zanzibar wewe hukuwepo au hata hujawahi kusimuliwa? Tanganyika ishakufa rasilimali zite ni za watanzania wote. Achana na wajinga kama akina Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe.Wewe ni msaliti wa Tanganyika?
Kwanza kabisa ieleweke kuwa Sultani alikuwa na mamlaka katika maeneo machache ya pwani ya Tanganyika ( Bagamoyo, Mikindani n.k.). Machief wa maeneo walikuwa hawana habari nae na wala hakuwa na wawakilishi wake katika sehemu kubwa waliokuwa wanasimamia himaya yake. Ndio maana Karl Peters aliweza kuingia mikataba ya magumashi na baadhi ya machifu. Kusema kuwa pwani yote ilikuwa sehemu ya himaya ya Sultan ni matusi ya nguoni...yule kijana ni mpuuzi kwelikweli.
..kwanza hata yeye wazazi wake ni asili yao sio pwani.
..pili muarabu aliuza maeneo aliyokuwa akiyamiliki kwa wajerumani.
..tatu nchi inapokuwa huru eneo lake linakuwa mali ya wazawa wa nchi hiyo.
..nne, hata tukikubaliana na mtizamo wake, kwamba bandari ni mali ya watu wa Pwani, basi Wazanzibari hawastahili kuuza mali za Watanganyika.
..mwisho, bandari za maziwani na nchi kavu zilizoko bara nazo zimeuzwa. Kijana mjinga hakuliona hilo?
Kwa hiyo toka tupate uhuru wetu bandari zetu zilikuwa zinaendeshwa na kumilikiwa na Kanisa? Ndio utetezi wenu wa mkataba huu wa Bandari, transport corridors n.k? Ndio elimu mnayotakiwa kutupa?Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Yaani Samia ni mbabe kuliko mwendazake Magufuli? Au kwa vile kawapa uhuru wa maoni ambao Magufuli aliunyang'anya na mukaufyata? Ndiyo mnatumia kila kejeli mnayoiwezaIssue ni awamu hii ina kiburi kuliko awamu zote. Huku kukomaza shingo si kwa kawaida hata kidogo