Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Napendekeza katiba mpya itakayomleta rais wa Tanganyika ipitishwe kwanza kabla ya kukamilisha maafikiano ya mktaba wa bandari za Tanganyika. Hili la wazanzibari watupu kuhusika kusaini mkataba wa kuziuza bandari za Tanganyika linaleta ukakasi kwenye mioyo ya watanganyika.​
 
Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Umerogwa,

404: Page Not Found
 
Mkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
View attachment 2680919

==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.

Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe
Usipoteze muda mzee. Mambo yako mbali mno. Umechelewa
 
Mkataba wa bandari waaibua Wazee wa Baraza la Ushauri.
View attachment 2680919

==
Wazee wamesema mjadala wa bandari utatugawa kutokana na namna unavyoendeshwa. Mzee mmoja wa Dar amesema hakuna anayepinga mpango huo au anayeshuku uwezo wa kifedha wa wawekezaji hao bali hawakubaliani na baadhi ya vipengele vya mkataba.

Ili kuepuka makundi, wazee wametoa wito maoni ya wataalamu yazingatiwe na vifungu virekebishwe. Aidha wenye malalamiko watumia njia maalumu kufikisha ujumbe
Huyu Mzee naye vipi aisee...

Usubiri na kutumia njia maalumu gani ili kuua nyoka hatari aliyeingia ndani ya nyumba yako?

Tunatumia njia na silaha yeyote iliyopo mbele ili mradi nyoka afe..!
 
Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Basi wanaonufaika na Bandari wako wengi maana mpaka Nachingwea, Itilima na Kibondo wapo wengi.
 
Mimi ni mzalendo halisi wa Tanzania ambaye sitaki kuona tunaendelea kuwa na bandari yenye mifumo inayoruhusu akina ana Tibaijuka na magenge yao ya tics wanaendelea kucota pesa bila mpangilio.
Wewe ni msaliti wa Tanganyika?
 
Wewe ni msaliti wa Tanganyika?
Kwani Tanganyika ilipozikwa mwaka 1964 april 26 kutokana na uroho wa kanisa kwa kumtumia Nyerere kuinyakua Zanzibar wewe hukuwepo au hata hujawahi kusimuliwa? Tanganyika ishakufa rasilimali zite ni za watanzania wote. Achana na wajinga kama akina Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe.
 
..yule kijana ni mpuuzi kwelikweli.

..kwanza hata yeye wazazi wake ni asili yao sio pwani.

..pili muarabu aliuza maeneo aliyokuwa akiyamiliki kwa wajerumani.

..tatu nchi inapokuwa huru eneo lake linakuwa mali ya wazawa wa nchi hiyo.

..nne, hata tukikubaliana na mtizamo wake, kwamba bandari ni mali ya watu wa Pwani, basi Wazanzibari hawastahili kuuza mali za Watanganyika.

..mwisho, bandari za maziwani na nchi kavu zilizoko bara nazo zimeuzwa. Kijana mjinga hakuliona hilo?
Kwanza kabisa ieleweke kuwa Sultani alikuwa na mamlaka katika maeneo machache ya pwani ya Tanganyika ( Bagamoyo, Mikindani n.k.). Machief wa maeneo walikuwa hawana habari nae na wala hakuwa na wawakilishi wake katika sehemu kubwa waliokuwa wanasimamia himaya yake. Ndio maana Karl Peters aliweza kuingia mikataba ya magumashi na baadhi ya machifu. Kusema kuwa pwani yote ilikuwa sehemu ya himaya ya Sultan ni matusi ya nguoni.

Amandla...
 
Hawa wazee kuna kitu hawajui. Wanufaika wa uzembe uliopo Bandarini hawataki paboreshwe kwani watakosa kupiga pesa.
Dp WORLD hawaitaki kabisa kwa kuwa itaboresha systems na viroba vya noti wanavyoondoka navyo kila siku hawatavipata tena.
Lissu, Mbowe, Tibaijuka, pengo, Kitima na Slaa ni mawakala wa kanisa wanaonufaika na ufisadi wa bandarini.
Kwa hiyo wazee wangu hiyo ndo habari niliyotaka nikupeni. Mbarikiwe.
Kwa hiyo toka tupate uhuru wetu bandari zetu zilikuwa zinaendeshwa na kumilikiwa na Kanisa? Ndio utetezi wenu wa mkataba huu wa Bandari, transport corridors n.k? Ndio elimu mnayotakiwa kutupa?

Amandla...
 
Issue ni awamu hii ina kiburi kuliko awamu zote. Huku kukomaza shingo si kwa kawaida hata kidogo
Yaani Samia ni mbabe kuliko mwendazake Magufuli? Au kwa vile kawapa uhuru wa maoni ambao Magufuli aliunyang'anya na mukaufyata? Ndiyo mnatumia kila kejeli mnayoiweza
 
Back
Top Bottom