Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Wazee wa Baraza la Ushauri; Mjadala wa bandari unatupeleka pabaya, maoni yasikilizwe

Wakati JPM anafanya huo Ubabe Samia alikuwa wapi ? By the way ni JPM aliyemfunga Mbowe ? Au yule jamaa kazi yake iliyoingia matatani baada ya kupinga TOZO ilikuwa ni kipindi cha JPM ?
Offences za Mbowe zilikuwa ni za April -Nov 2020
 
Mapaka👇😁😁😁
16884572500841.jpg
 
Kwani Tanganyika ilipozikwa mwaka 1964 april 26 kutokana na uroho wa kanisa kwa kumtumia Nyerere kuinyakua Zanzibar wewe hukuwepo au hata hujawahi kusimuliwa? Tanganyika ishakufa rasilimali zite ni za watanzania wote. Achana na wajinga kama akina Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe.
Kawadanganye akina mwijaku, kitenge, Lusinde, Msukuma na baba levo
 
Wewe kijana umekula maharage ya wapi? Wapi umeona kuwa mkataba utakuw wa milele? Epuka uzwazwa wa CHADEMA na akina Nshalla na Mwabukusi.
Watu mnamaneno kweli kweli!
[emoji2][emoji2][emoji2] Umenikumbusha ile
ya Gwajiboy long kitambo!!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom