Kwani Tanganyika ilipozikwa mwaka 1964 april 26 kutokana na uroho wa kanisa kwa kumtumia Nyerere kuinyakua Zanzibar wewe hukuwepo au hata hujawahi kusimuliwa? Tanganyika ishakufa rasilimali zite ni za watanzania wote. Achana na wajinga kama akina Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe.