Millionaire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 300
- 503
Safi, wanachanganya na hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi, wanachanganya na hii
Kujibu mjinga ni ufedhuli, kama hujui kitu nyamaza uonekane mwerevu, jibu ni 1 ila kwavile wewe ni mjinga utaendelea na ubishani
Fafanua tuone uerevu wako sio kukalia maneno tu huku kichwani hamna kitu, hata Kanga nayo inayo maneno.
Kama 6÷2(2+1) =1, na 6÷[2(2+1)] itakuwa ngapi??.
🤣🤣🤣
6÷{2(3)}=1
6÷2(3)=1
6÷2*3=9
Usishupaze fuvu ntakupiga makofi sasa😀😀😀
Acha kufananisha scientific calculator na vitu vya ajabu
MAPEGAZIJUTO... I like it waeleze hao waswahili wabishiBODMAS, B=Bracket, O=Order, D=division, M=multiplication, A=Addition , S=Subtraction.
You have to firstly deal with numbers in brackets, then deal with those numbers with "orders" (ie powers, square roots etc) then you follow the other operations as per order.
Umekosea, kitaalamu hayo mabano huwezi kuyafungua bila kuzidisha hiyo mbili iliyo nje ya mabano. Usisahau kuwa 2 ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani ya mabano kwasababu hakuna tendo la kuzidisha hapo katikati. Kitaalamu hiyo mbili ya nje ya mabano ni common factor ya (2 +1). Inawezekana ulikimbia hesabu za factorization wewe. Scientific calculator iko sahihiUnaanza kufanyia kwenye mabano kwanza, maana hiyo ni conditional.
Baadaye ndo Magazijuto.
Jibu sahihi ni 9
Umekosea, kitaalamu hayo mabano huwezi kuyafungua bila kuzidisha hiyo mbili iliyo nje ya mabano. Usisahau kuwa 2 ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani ya mabano kwasababu hakuna tendo ka kuzidisha hapo katikati. Kitaalamu hiyo mbili ya nje ya mabano ni common factor ya (2 +1). Inawezekana ulikimbia hesabu za factorization wewe. Scientific calculator iko sahihiHebu na sisi tujaribu:
6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
We ujui hesabu bhana kaisha mzee6÷{2(3)}=1
6÷2(3)=1
6÷2*3=9
Usishupaze fuvu ntakupiga makofi sasa[emoji3][emoji3][emoji3]
Umekosea, kitaalamu hayo mabano huwezi kuyafungua bila kuzidisha hiyo mbili iliyo nje ya mabano. Usisahau kuwa 2 ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani ya mabano kwasababu hakuna tendo ka kuzidisha hapo katikati. Kitaalamu hiyo mbili ya nje ya mabano ni common factor ya (2 +1). Inawezekana ulikimbia hesabu za factorization wewe. Scientific calculator iko sahihi.Hapa hatupimani nani anajua zaidi bali ni suala la kuelimishana tu kwani hakuna anayejua kika kitu isipokuwa Mungu tu.
Haya hebu tuanze darasa:-
6÷2(2+1), hii ni sawa na kuandika, 6÷2×(2+1), kwa sheria ya MAGAZIJUTO (forget about BODMAS), lazima tuanze na expression iliyomo ndani ya mabano "MA" yaani (2+1) ambapo unapata 3, hivyo expression nzima inakuwa hivi; 6÷2×3; katika expression hiyo kuna matendo mawili; tendo la kugawanya na kuzidisha, kwa sherai ya MAGAZIJUTO ni LAZIMA uanze na kugawanya ndipo umalizie na kuzidisha kwani MA= Mabano, GA=Gawanya, ZI=Zidisha, JU=Jumlisha, TO=Toa, kwahiyo 6÷2×3 ni sawa na (6÷2)×3,
Yaani, 6÷2×3=(6÷2)×3= 3×3=9.
Kama unayohoja hapo karibu tujadiliane kwani kujadilana ni moja ya njia ya kujifunza, ni kitu ambacho wenzetu Wazungu hufanya na hivyo kujiongezea elimu, tofauti kwa sisi Waafrika ni mashindano ya nani anajua zaidi hatimaye siku zote tupo nyuma ya Wazungu.
ExactlyPale unapofungua mabano inatakiwa uzidishe na Ile mbili nje Mana Ni Kama imerahisishwa tu ikatolewa nje mkuu. Sijui Kama unaelewa. Yaani Ile kutolewa nje inabidi uirudishe ndani Mana imebeba namba zote zilizo ndani sema amerahisisha kihesabu
Wewe naye umewavuruga tu watu hapa. Wambie warejee hesabu za factorization za form two, wataelewa kuwa mbili ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani, imekuwa factorized au tunaweza ita ni common factorNafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .
Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .
Umekosea, kitaalamu hayo mabano huwezi kuyafungua bila kuzidisha hiyo mbili iliyo nje ya mabano. Usisahau kuwa 2 ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani ya mabano kwasababu hakuna tendo ka kuzidisha hapo katikati. Kitaalamu hiyo mbili ya nje ya mabano ni common factor ya (2 +1). Inawezekana ulikimbia hesabu za factorization wewe. Scientific calculator iko sahihi
Nadhani watu walienda kusomea ujinga. Jibu sio tisa, jibu ni moja. Tatizo la kukariri bila kuelewaAisee shuleni mlienda kusomea ujinga?
Jibu ni moja mkuu. Rejea factorization za form twomkuu ndio jibu ni moja ? acha kupotosha umma mkuu, tafuta mkali wenu wa hesabu muulize au iandike kwenye karatasi uifanye uone mkuu hesabu haifanywi kwa macho [emoji1787]
Jibu ni moja. Rejea theories zako za hesabu vizurimadam hapana jibu ni 9 hesabu haina majibu mawili na ndio maana ni rahis kupata mia na ndio maana ma TO wengi wanatokaga PCM sababu haya msomo hayana janja janja majibu yake ni universal na vitu kama hivyo
Umekosea, kitaalamu hayo mabano huwezi kuyafungua bila kuzidisha hiyo mbili iliyo nje ya mabano. Usisahau kuwa 2 ya nje ya mabano ni sehemu ya namba za ndani ya mabano kwasababu hakuna tendo ka kuzidisha hapo katikati. Kitaalamu hiyo mbili ya nje ya mabano ni common factor ya (2 +1). Inawezekana ulikimbia hesabu za factorization wewe. Scientific calculator iko sahihi.
Ngoja nikufundishe kidogo huenda ukaelewa zaidi
6÷2(2+1) mathematically si sawa sawa na 6÷2x(2+1). Moja jibu lake ni tisa na nyingine jibu lake ni moja. Hata kama ingetokea majibu yakafanana lkn solution ya kusolve ni tifauti kabisa..
Mfano
2(2+2) si sawa sawa na 2x(2+2) hata kama majibu ni sawa au yanafanana. Tazama uchanganuzi hapa chini.
Kwenye 2(2+2), mbili ya nje ya mabano ni common factor hivyo kufungua mabano huwa inazidishwa na kila namba ya ndani 2x2+2x2=8. Kwa maana nyingine hapo BODMAS hai apply kwasababu hakuna tendo la kuzidisha hapo.
Wakati kwenye 2x(2+2) kuna matendo zaidi ya moja so, lazima ua apply BODMAS na unaanzia ndani ya mabano inakuwa ni 2x4=8. Ingawa majibu yanafanana lakini hizo ni solutions mbili tofauti, na tofauti yake utaiona pale unapopata equation yenye matendo mengi.
NO.......BODMAS ni MAPEGAZIJUTOSioni tofauti ya MAGAZIJUTO na BODMAS
MA = BO
GA = D
ZI = M
JU = A
TO = S
Heeeeeh hivi namba inaweza kuwekwa ndani ya mabano bila matendo ya kihisabati eti 2(3) 😅😅😅...ok ni hivi6÷{2(3)}=1
6÷2(3)=1
6÷2*3=9
Usishupaze fuvu ntakupiga makofi sasa😀😀😀