Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,929
Hili swali halina haja ya Harvard huyo tu anakaza fuvu
Usimzuie, mwache apeleke huko Havard na aonyeshe ushahidi wa kutosha na sio forgery kwamba majibu yametoka huko Havard kwa Maprofesa na sio wanafunzi kwani inawezekana pia huko wakawepo wanafunzi vilaza kama wewe na wakatoa jibu wrong.