Wazee wa ovyo acheni kufakamia Wanawake wa Vijana wenu

Siyo mama yake tu! Anakula mama yake na anakula dada yake { Mama na Baba mmoja}
Khaaa mkuu hii mbona ni laana sasa..hii ni topic nyingine itabidi unipe kisa kamili aiseee khaaaa

Inakuaje kuaje hii aiseee
 
Waache wale vinono hahaha 🤣
 
Kwa nini hao mnaowaita watoto wa kike wafakamiwe na Wazee?
 
Jambo gan utafanya kijana,usipojitambua au kutambua majukumu yako kama mwanaume utatombewa mpaka akili ikae sawa,acha kutishatisha watu huku ndani
 
awa wazee kuna mda tutawapiga pipe..
Mi nimepanga tamiliki pipe kwa ajili ya mahasidi kama hawa.

Una kuta mzee anakamia show kabisa na mikongo wanapaka.

Wazee mna nini nyie.
Mpaka ufikie hatua ya kumiliki bastola hutakuja na malalamiko kama haya humu ndani na wewe utakua unakula mema ya nchi kama hawa wazee unaowalalamikia humu jukwaani kijana
 
Jambo gan utafanya kijana,usipojitambua au kutambua majukumu yako kama mwanaume utatombewa mpaka akili ikae sawa,acha kutishatisha watu huku ndani
Tumia tafsida mkuu...
Mbona kama na wewe ni mzee wa hovyo.

Ukweli ndo huo tuachieni hawa malaika wetu nyie mlichezea enzi zenu vibaya
 
awa wazee kuna mda tutawapiga pipe..

Mpaka ufikie hatua ya kumiliki bastola hutakuja na malalamiko kama haya humu ndani na wewe utakua unakula mema ya nchi kama hawa wazee unaowalalamikia humu jukwaani kijana
Ahahahah alafu unavowatetea sasa.
Ngoja siku wakulie malaika wako ndo utajua ujui shekhe wangu
 
Vipi "Fundi" wamekugongea?
Wa kale walisema, "Fimbo ya mbali haiui Nyoka" Pole sana🙆🙆
Ndio DPN nilicho fanyiwa kwa huyu malaika wangu ni ngumu kuamini ila daah ngoja kuna siku tuu.

Itajulikana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…