Wanabambika kesi hawa, mi sikuona kibao, kukomalia akasema kwani sioni ni makazi ya watu kwanini nakimbia, speed yenyewe 60Hivi ndio madereva wote wanatakiwa kuwa, sidhani kama mwaka jana wote nimepigwa faini hata moja. Mimi ni mzee wa kufuata vibao.
Sasa kibao hukuona unalalamika nini? Maanake umepita na 60 kwenye 50 zone. Kama alivyosema mchungaji fuata sheria au lipa 30,000.Wanabambika kesi hawa, mi sikuona kibao, kukomalia akasema kwani sioni ni makazi ya watu kwanini nakimbia, speed yenyewe 60
Day trip 🚶♀️View attachment 2493605
Hio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.Wanabambika kesi hawa, mi sikuona kibao, kukomalia akasema kwani sioni ni makazi ya watu kwanini nakimbia, speed yenyewe 60
Dawa ya deni kulipa acha kulialia. Wanaweka camera maeneo fulani watakubana tu utalipa bila kupenda. Tii sheria bila shuruti.Hio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.
View attachment 2496283
AsubuhiChuga siku hizi ndio kuna foleni hivi?
Maafande wa njia yako hao wao hata Jumapili wanatega ndoano 🤣🤣🤣Dawa ya deni kulipa acha kulialia. Wanaweka camera maeneo fulani watakubana tu utalipa bila kupenda. Tii sheria bila shuruti.
Ha ha ha ulijichanganya daraja la kigamboni! HA ha ha ha wanakomesha sana wageni paleHio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.
View attachment 2496283
Kwa namna walivyokuwa kikosi kazi nilijua sitoboi lazma ningeweka pembeni tu 🤣Ha ha ha ulijichanganya daraja la kigamboni! HA ha ha ha wanakomesha sana wageni pale
Barabara tamu ukijiachia tu imekula kwako....pale tuna-enjoy asubuhi sana na usiku, ikifika saa nne mpaka kumi na moja jioni kuwa makini. Weekend ndio balaa siku za mavuno kwao. Mkishtukia darajani wanasogea mbele kule kwenye matenki ya mafuta.Kwa namna walivyokuwa kikosi kazi nilijua sitoboi lazma ningeweka pembeni tu 🤣
Duu kumbe kuns app tayari, niko nyuma sanadownload app ya GEPG
Hili ni daraja la kigamboni pale? Ule mkeka unaita sana, afu wajomba pale wanatega sana yani [emoji23][emoji23][emoji23]Hio ndio maana siwapendi hawa wapuuzi na deni ntalipa nikijiskia sio kipaumbele kwa sasa. Akikosa kosa anaamua kukubambikia lolote analoona rahisi kwake.
View attachment 2496283
Mi ilikuwa Jumamosi ile tena ni boxing day njia zote nyeupe ila pale sasa ni noma na nusu 🤣🤣🤣 nilivyoona wenzangu wanafungua nozzle namimi nikakaza mguu kidogo... Kuja kusanuka wazee waleee...Barabara tamu ukijiachia tu imekula kwako....pale tuna-enjoy asubuhi sana na usiku, ikifika saa nne mpaka kumi na moja jioni kuwa makini. Weekend ndio balaa siku za mavuno kwao. Mkishtukia darajani wanasogea mbele kule kwenye matenki ya mafuta.
nilivyoona wenzangu wanafungua nozzle namimi nikakaza mguu kidogo... Kuja kusanuka wazee waleee...🤣🤣🤣Siku yao ya mavuno.
Pale pale mzee sipiti tena pale ntavuka na pantoni.Hili ni daraja la kigamboni pale? Ule mkeka unaita sana, afu wajomba pale wanatega sana yani [emoji23][emoji23][emoji23]
Wataalam wale huwa tunawaona kutokea mbali sana, sema kama ndio unaenda Kg kuingia kwenye zile bend inabidi uingie kimachale.nilivyoona wenzangu wanafungua nozzle namimi nikakaza mguu kidogo... Kuja kusanuka wazee waleee...🤣🤣🤣
Hivi ndio madereva wote wanatakiwa kuwa, sidhani kama mwaka jana wote nimepigwa faini hata moja. Mimi ni mzee wa kufuata vibao.