Wanao washaga taa moja hawana akili nzuriKuna siku nasafiri usiku, nikaona chombo mbele yangu kina taa moja, nikadhani ni pikipiki.
Hamadi mita kama 50 naona ni gari ina mzigo.
Niliyumba siku ile sitasahau, sio kwa kumkwepa vile.
Siku nyingine maeneo ya mwanga, chombo hakina taa nyuma.
Nagundua ni trekta limebeba mazao nimeshafika mita kama 50 hivi. Nikamkwepa nikavaa tuta.
Nimetokea kuchukia sana kusafiri usiku. Hasa hizi barabara zetu huchelewi kukuta kundi la ng'ombe au mbuzi barabarani na upo zako 170kph.
Ndo utajua hujui.
Sasa wengine kutembea chini ya 140kph hatuwezi ndio maana nakwepa safari za usiku.Hii ya trekta isiyo na taa wala reflector nyuma nilikutana nayo mida ya saa moja usiku karibu na Nangurukuru, halafu upande wa pili naona taa za chuma inakuja. Siku ile nilikanyaga break nikaja kusimama kama mita 5 hivi kutoka kwenye trekta. Bahati nzuri nilikiwa just 100-120kph. Sipendi kabisa safari za usiku. Nasafiri usiku ikibidi tu na hapo speed mwisho 120.
Wanacho angalia ni wao kupata pesa tuMadalali ni makuzi sana basi tu.
Naona ni vyema mtu kama unataka machine yenye top speed 240 au 300ni vizuri kujichanga mda mrefu ununue.. kuliko kuanza kufanya modification..Ukiongeza HP(kutegemea ni stage gani unataka) then lazima modification ya Suspension&Brakes parts ihusike.
Jamaa yuko njema sana kwny hio mambo aisee,kuna tourer kule be forward inagonga mpk $37,000 mzee baba.Yule ni mwamba,mbali na hiyo Aristo yenye 2gzte ana ile Chaser tourer nayo ni hatari,cha kushangaza kwa muonekano ni gari ya kawaida ila sokoni bei inagonga usd 20,000 bila cif
Ni uzembe wa hali ya juu.. na hasa magari ya mikaa na mizigo na yanayo enda midani huko maporini ndio mala nyingi huwa nabahatika kukutana nayo.. na mengine huwa yanazima taaaHuwezi kuwasha taa moja mkuu....ni kwamba moja imeungua and they just don't care!
Ni kweli kabisa mkuu.Naona ni vyema mtu kama unataka machine yenye top speed 240 au 300ni vizuri kujichanga mda mrefu ununue.. kuliko kuanza kufanya modification..
Siku hizi watu hawajaamua tu, kama mtu anaweza nunua crown, hawezi shindwa nunua hizo zenye 240.. bei zinaendana tuNi kweli kabisa mkuu.
Kweli aisee,nna mpango na aristo siku za mbeleni huko nitaipiga modes za kizushi hata ikitoa HP 350 sio mbaya,haiwezekani gari ina kifua halafu inatoa HP 276 tu.Ina umiza sana.. sema ukikumbana na chuma kichovu unakitesa baraaa
Sometimes ni exposure tu inakua changamoto,maana zile zenye 240 mostly germany price yake ni sawasawa na hizi toyota watu wanazonunua daily.Siku hizi watu hawajaamua tu, kama mtu anaweza nunua crown, hawezi shindwa nunua hizo zenye 240.. bei zinaendana tu
Nilishawahi drive Carina Ti 1500cc to 140km/hr gari ikawa inaanza kukosa stability,Swali nililojiuliza ni Je,itakuwaje kwa mtu anayeendesha Carina Ti 2200cc ambayo i think ni Turbo charged akaenda 180km/hr sijawah pata majibu.
Bits rs ni aina gani hii mkuu.?Itakua uoga wako tu mkuu...m naendeshaga bits rs 180kph inakua kawaida tu mkuu
Hapo sawa kabisaRPM sizidishi 3000 nikiwa highway. Naiacha ichanganye yenyewe.
Ila tukiwa na convoy ya washkaji. RPM inashika adabu yake.
Ila lazima niweke wese korogwe ili kujihami.
Tuzisake pesa tu,vitu vizuri vipo mkuu.. ukiwa na long term planning, unapata vitu vizuri sana.. mie miaka mitatu mbeleni najiona kwenye machine ya ulaya ya uhakika sio ya kichovu.. ila kwa sasa hivi acha nipambambane na mjepu tuKweli aisee,nna mpango na aristo siku za mbeleni huko nitaipiga modes za kizushi hata ikitoa HP 350 sio mbaya,haiwezekani gari ina kifua halafu inatoa HP 276 tu.
Na kuna toyota zina bei kuliko hata hizo za mjerumani.. sema kama unavyosema kuwa ni exposureSometimes ni exposure tu inakua changamoto,maana zile zenye 240 mostly germany price yake ni sawasawa na hizi toyota watu wanazonunua daily.