Hahahah Evo hadi wajapan wamezipiga ban maana zimezidi kiwango cha fujo 😂😂😂! Hawataendelea kuzizalisha tena.Na mpaka leo hajaipatia dawa ile Evo na kabla hajapumua kuna mwamba mwingine toka Mwanza nae kaingiza Evo matata kuliko ile ya kwanza,ni mapenzi na ujana kwa sheria hizi JMT na aina ya barabara zetu sioni sehemu ya kumwaga moto kuzidi 240kph
Ningevimba sana mkuu huko barabarani...Na wewe ni member nini? Mbona kauli ndio hizi hizi...
Ndo maana sipendi hizi gari za kumodify, unaitumia kwa occassion 1 tu.Umbali mrefu tutakutafuna na stock car zetu hutaamini...
Hii bila shaka ni Morogoro Road kama si Iringa road
Unaisaka chalinze 😝
Unaisaka chalinze 😝
Huu mwaka usiishe kabla hatujapiga trip moja ndefu....Loooh uhame u-extroventi uhamie upande wetu huku introventi ...... utasema ulikuwepo 😅...
View attachment 1683977
😁🥂.
Ttzo hautoinjoi, wewe unapenda zile trip za three some kujazana kwenye gari km mnakwenda mnadani,ilhali yy anapenda za wawili,sijui utachagua kipi!!!!!Huu mwaka usiishe kabla hatujapiga trip moja ndefu....
Jamaa yuko njema sana kwny hio mambo aisee,kuna tourer kule be forward inagonga mpk $37,000 mzee baba.
Kuna kipindi huyo jamaa alikua na Supra,Noma sana.
Huu mwaka usiishe kabla hatujapiga trip moja ndefu....
Ya wawili inatosha....za peke yangu kama kuhani siziwezi
Kuna dereva alitelekeza gari la ofisi vichakani baada ya kuzidiwa na kvant akatafuta boda akarudi kulala. Asubuhi maboss wake wanampigia hapokei cm.. basi wakajua kapata shida wakatafuta gari kwa GPS wakalikuta vichakani. Dereva kalala home kwake hana habari saa 2 asubuhi sijui ile soo ilishaje uko ofisini maana Gari yenyewe Landcruiser hardtop.Nimecheka sana manake umenikumbusha mbali mnoo 😁 😁 😁 .Kuna mzee alishanisimulia chanzo cha kuacha kunywa bia za kampan na marafiki.Huyu mzee alipark gari mtaroni akiwa amelewa usiku karibu na petrol station,Sasa ameamka asubuh anatafuta gari aende kazini,gari halionekani ila ufunguo anao,anakwambia ilifikia hatua akatafuta gari kwenye suruali 😁😁😁,ghafla washkaji zake wanampigia simu mbona kaegesha gari mtaroni karibu na petrol station ndo akili zikamrudi na kukumbuka
Hii ni crown
Hii ni crown
Au Mark x
Nmekosea?
Naelewa gari letu hilo la taifaDaaah mulemule.....!!! Umejuajeeee....!???
Itabidi nibadili maana ntaanza kukodolewa macho aahahahahahhaaa
Kuna wadau huko barabarani macho yatakuwa kodoo 😜.
Daaah mulemule.....!!! Umejuajeeee....!???
Itabidi nibadili maana ntaanza kukodolewa macho aahahahahahhaaa
Kuna wadau huko barabarani macho yatakuwa kodoo 😜.
Crown aubMark X haina hio vent hapo katikati(GRS180/1/2)Naelewa gari letu hilo la taifa
Crown
Mkuu we umelifahamu?Crown aubMark X haina hio vent hapo katikati(GRS180/1/2)
Crown aubMark X haina hio vent hapo katikati(GRS180/1/2)