Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
ukitembelea 100 hata kama upo ndani ya ferrari nakuovertake,Ha ha ha IST huwa mnavurugu sana! Hamuogopi mtu hata awe na V8 mnamjaribu.
Atakubutua akuache hapo.
Honestly nilikuwa speed fulani ndogo kwasababu giza lilishaingia. Ila ingekuwa yale mambo yetu ya 150kph saa hizi yangekuwa mengine.Pole Mkuu, Ndo maana huwa nasema matuta na tochi kwa Tanzania muhimu sana lasivyo wengi tutaangamia.
Pole sana Mkuu kwa kukoswakoswa na ajali bora hata ungejisogeza bondeni uwaachie barabara kabisa kwani alioa wewe sio size yake kwa vile gari yako ina umbo dogo kuliko LoriSometimes nashukuru similiki bastola.
Aisee hii wapi hii
Pole mazee! Barabara zetu ni changamoto sana.Jana usiku kabla ya Kabuku kuna mwenye lori ilikuwa atuue. Ingekuwa nimewahi sekunde tano tu leo nisingekuwa hapa naandika haya.
Ilikuwa kwenye kona na kwasababu giza lilishaingia nilikuwa mwendo fulani mdogo around 80kph nikaipita bodaboda inatembea pembeni.
Mbele kidogo naibuka kwenye kona naona Mita kadhaa mbele malori mawili yanaligi yananijia moja imejaa kwangu ilikuwa head-on collision! Nikawahi kufunga breki kali Lori linakuja tu nikaitoa gari pembeni ya barabara natizama bonde. Mwenye lori alikuja hadi Mita kama mbili tu akamlazimisha mwenzie akamchomekea kunikwepa mimi.
Wakati nahangaika hivi bodaboda nyuma yangu hajui nini kinaendelea akaniovateki akakutana na lori ikabidi yeye na abiria wake waingie kwenye bonde! Lori likaendelea na safari. Bodaboda waliinuka ila waliumia maana niliona wanachechemea huku wakijishika viuno! Mungu mkubwa.
Hahaaa!Kama Prado ameamua kwenda na 100kph ni kweli ukiwa na IST mnaweza kufika sawa.
Hiyo speed unauwezo wa kumaintain kwa masaa mangapi?ukitembelea 100 hata kama upo ndani ya ferrari nakuovertake,
mimi speed yangu penzi ni 120-140, kama unatembea chini ya hapo bila sababu za msingi lazima vurugu ziwepo
Mwanzo hadi mwisho wa safari, cha muhimu barabara na muda uniruhusu.Hiyo speed unauwezo wa kumaintain kwa masaa mangapi?
Bongo bhana ajali za ajabu ajabu tuLeo imetokea jioni njia ya mbagala-kongowe
Roli lililobeba lami lilikua linashusha mlima likafeli breki..chini ya mlima kulikua na gari tatu zinapanda ya kwanza tank la mafuta,ya pili canter ya mafuta pia na canter ya kawaida ....Mwenye roli la lami baada ya kuona breki zimefeli akawasha taa fulu ,,yule mwenye tank akawa ameshamsoma akampisha lakini akawa amechelewa akagongwa uso kwa uso ila upande wa abiria na pia lile lori zikavamia na gari za nyuma zile canter likaanguka hapo ...so ajali ya gari nne kwa wakati mmoja.
Nb:tetesi zinasema wamekufa wawili,,dereva na utingo wa lori la lami walirukaView attachment 1713473View attachment 1713479
Sawa kabisa Bora uhai mkuu.Pole sana Mkuu kwa kukoswakoswa na ajali bora hata ungejisogeza bondeni uwaachie barabara kabisa kwani alioa wewe sio size yake kwa vile gari yako ina umbo dogo kuliko Lori
na ungekuwa na bastola na ukamfukuza mwenye Lori ungewekwa Kituoni Kabuku mambo yangeharibika kabisa.
Kukaa barabarani ni elimu tosha, mm kuna jamaa alikula wrong site kwenye mzunguko wa keep left akanivaa na kuharibu gari yangu, Traffic wakaja wakamshauri akanitengenezee nikakubali kufika gereji bado alishindwa nikamalizia mwenyewe bora Uhai Mkuu
Bongo bhana ajali za ajabu ajabu tu