Hawajiulizi kwanini ni Crown/Mark X/Brevis zinazoendeshwa na vijana tu.....Kuna jamaa niliandika hapa akanibishia sana lakin ukweli utabaki kwamba hz gari ni very risk sana kwa vijana.Kwenye nchi za wenzetu insurance Co. huwa zinachaji premium kubwa kwa kuzingatia umri wa dereva,ukubwa wa engine ya gari nk. Kwa mazingira yetu ya Tanzania ni kwamba Crown,Mark X na Brevis zinapendwa sana na vijana na ndizo zinazoongoza kwa mizinga mibaya sana.Nilishaenda kufanya service Spring City garage ilikuwa jumatatu fulani,hz gari zilikuwa zipo za kutosha tu sababu ya mizinga na hopeful lazima ni vijana kwenye mambo ya weekend, na nyingi zilikuwa mpya kabisa.
Unatakiwa uendeshe kwa limitation zako sio kwa limitation za gari! Wewe uzoefu huna unataka ubinye Crown to its limitsUzuri wengine masanga hatugusi, ni kukunja tu goti. Iwe machana, isipokuwa usiku. Usiku na uheshima unaweza kukunyoa roho
Bei chini, ukiwa na 10 mill + unapata crown au mark x. Na ukiwa na kuanzia na 3.4 - 5.5 million unaoata brevis. Jiulize kwanini weheshimiwa wenye merced benz zao hukuti zimebinuka huko porini au hata hapo townHawajiulizi kwanini ni Crown/Mark X/Brevis zinazoendeshwa na vijana tu.....
Wanasema wakuu, crown ka mguu kidogo kwenye wese. Inatoka mbio nao wanajisahau kumbe mshala ushagonga 140, brake ya ghafla mikono lege lege , na biashara inaishia hapoUnatakiwa uendeshe kwa limitation zako sio kwa limitation za gari! Wewe uzoefu huna unataka ubinye Crown to its limits
Usipoweka jicho kwenye speedometer unafuta kisahani bila kujua sasa hamad lori bovu kwenye kona unalo hilo!Wanasema wakuu, crown ka mguu kidogo kwenye wese. Inatoka mbio nao wanajisahau kumbe mshala ushagonga 140, brake ya ghafla mikono lege lege , na biashara inaishia hapo
Utu uzima dawa na busara juu!Bei chini, ukiwa na 10 mill + unapata crown au mark x. Na ukiwa na kuanzia na 3.4 - 5.5 million unaoata brevis. Jiulize kwanini weheshimiwa wenye merced benz zao hukuti zimebinuka huko porini au hata hapo town
Ndio kifo hapo au kilema cha maisha. Chombo cha moto ni kuwa navyo makini tuUsipoweka jicho kwenye speedometer unafuta kisahani bila kujua sasa hamad lori bovu kwenye kona unalo hilo!
Ni kweli ukiwa na vitz cc990 kuipata 140 ni msala mpaka tambarale au kwenye mtelemkoWanasema wakuu, crown ka mguu kidogo kwenye wese. Inatoka mbio nao wanajisahau kumbe mshala ushagonga 140, brake ya ghafla mikono lege lege , na biashara inaishia hapo
Hatari sanaz Vitz ilivyo ndogo vile kupuyanga hiyo speed, unahatarisha kabisa maishaNi kweli ukiwa na vitz cc990 kuipata 140 ni msala mpaka tambarale au kwenye mtelemko
Kuwa makini tu. Nenda mbio ila angalia sehemu unazokimbia,ovateki kwa umakini. Usijiachie tuDuh!Nimeelewa.mimi binafsi ni mtu wa kupenda mabio hata baiskel huwa napenda ikimbie to the maximum sembuse gari.raha ya kitu kitembee bhana.nimesikia ushauri wenu ngoja nijichange nichukue ka passo kama jamaa alivyopendekeza.
Unafuta kisahani jangwani tambarare huko.Usipoweka jicho kwenye speedometer unafuta kisahani bila kujua sasa hamad lori bovu kwenye kona unalo hilo!
Mda c mrefu itagonga 2500 tupo uchumi wa kati yani.Road trippers....petrol tzs 1981 tujipange!
Kumekucha,Mda c mrefu itagonga 2500 tupo uchumi wa kati yani.
Road trippers....petrol tzs 1981 tujipange!
Kumekucha,
Muda wa raia kushusha vioo