Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo tunaotapika haturuhusiwi? Ntaandaa vifungashio vya kutapikia,Wewe utatapika kwenye gari maanake tunaendesha kama shemeji yako.
Hivi uko pande zipi sasa hivi bro darlingAnd I will let it pass.
Let's meet in Sept/ Oct
We ni muhaya?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah..
Yeah nipo hapa mtu wangu.Hivi uko pande zipi sasa hivi bro darling
Umesharudi tz
Hapo kwa highest point Lushoto nimekumbuka Irente LodgeI love long drives!
Ukiwa njiani kurudi, pandisha Lushoto. 60 Kms kutoka Lushoto town kuna kijiji kinaitwa Mambo. Hali ya hewa ni njema Sana, highest point na unaona pare and sambaa land around you. Network ya simu ni ya shida na hakuna TV. Ukikaa siku 2 tu utarudisha nyuma umri wako kwa miaka 10.
Enjoy your trip mazee
Wakati wengine wana DVA wengine tunasubiri IT zitupeleke mikoani kwetu si ni life tu
Subiri mpk feb ndo ukomentSisi tusio hata na baisekeli tukomenti wapi?
kikubwa Dua MaalimWakati wengine wana DVA wengine tunasubiri IT zitupeleke mikoani kwetu si ni life tu
Ooh hongeraYeah nipo hapa mtu wangu.
Nazichanga kidogo kidogo na tikect mkononi.
Njia ya shinyanga kwenye hii junction kuna Diversion hapa sasahivi... inabidi uende mpaka nzega mjini kisha uingie kuliakikubwa Dua MaalimView attachment 1655095
Kama utabeba mifuko sawa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo tunaotapika haturuhusiwi? Ntaandaa vifungashio vya kutapikia,
Afu huo mtindo wa kuburuza gari km mnakimbizwa na viumbe hatari mtakuja mjute oooh.
Ila safe journey to u all.
sikuja kama uelewa wako upo hivyo? inaweza kuwa B au C lakini chuma ilichukuliwa ex-factory 2015 brand new, na ikawa D kumbe machine ya 2003. Usinitie aibu tenaSafi sana. Safiri salama. Naheshimu mtu mwenye European car namba A,B,C nafikiri unanielewa.
Enjoy the road trip brother.
Nakubaliana na wewe!!Sure, Ila lami ya kusini huku ina changamoto za mashimo.
Ahsante dia 1. Nimekutumia mzigo WhatsAppOoh hongera
Mi niwatakie tu wote safari njema acha wengine tupambane kwanza kidogo kidogo
Kaka nazichanga kama za karanga hapa.Mzee wa overseas