Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wewe utatapika kwenye gari maanake tunaendesha kama shemeji yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo tunaotapika haturuhusiwi? Ntaandaa vifungashio vya kutapikia,
Afu huo mtindo wa kuburuza gari km mnakimbizwa na viumbe hatari mtakuja mjute oooh.
Ila safe journey to u all.
 
Hapo kwa highest point Lushoto nimekumbuka Irente Lodge
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahyo tunaotapika haturuhusiwi? Ntaandaa vifungashio vya kutapikia,
Afu huo mtindo wa kuburuza gari km mnakimbizwa na viumbe hatari mtakuja mjute oooh.
Ila safe journey to u all.
Kama utabeba mifuko sawa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…