Hata mimi chuo ilinipa shida maana nilikuwa sioni pale mbele hasa kama nikikaa siti za nyuma! Sasa unakuta mwalimu anaenda fasta anapeleka tu slides hana habari basi nikawa naelewa hivyo hivyo kwa kumsikiliza tu siyo lazima niandike!Hata mimi nilikuwa mgumu sana kuchongesha miwani,,ila niliitafuta mwenyewe.
"Unaingia darasani Mwalimu anatiririka tu ubaoni,unasikia tu"hii inakuja hivi"hapo wenzio wanatikisa vichwa kuitikia,wewe unabana macho ili uone na kuona huwezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wenyeji wa huko hawapo kwenye huu uzi! Binafsi naona mikoa ya southern highlands ndiyo ina sehemu nyingi sana za kutembelea!Nimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,
Halafu sijaona aliyeanzia trip Yake Mbeya,,ina maana Mbeya wote hatuna magari mwee[emoji38].
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38]
Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.
Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii ni noma sana aisee, Nakuvutia picha mzee jinsi ulivyotaka kutoka na vioo.Kuna siku mida ya saa 9 nlilipaki nyuma ya tanker la mafuta pale Kibaigwa nikajilaza nipunguze usingizi.
Ndoto ikaja niko kibati halafu kuna kuna kicheche cha tanker la mafuta naenda kukivagaa. Kukurupuka usingizini na kufungua macho naona lori lilelile nililoliota liko mbele yangu sasa live. Panic yake mzee, mpaka kuja kugundua nilikuwa naota nimeshateseka sana.
Nikalaza vizuri kiti nikaendelea kulala. [emoji23]
Yeah Mbeya parefu. Ila nahisi umbali wake hauoni ndani kwa umbali wa kwenda Mwanza.Kwa sisi tulioko Dar huko ni mbali kiasi fulani. Umbali wake kwenda tu ni kama kwenda na kurudi Moshi!
Duh umetisha unataja gari kwa code za kitaalam kabisa!Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!
Bongo sijui kwanini wanahusudu namba mpya! Wakati kuna gari kama LC 70 series namba A ziko vizuri na zinapiga kazi kuliko hata baadhi ya hizi namba D!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwezi wa nne nimeuza sura sana huku mpaka wakanitishia maisha [emoji23] [emoji23]
Maisha ndivyo yalivyo....[emoji23][emoji23][emoji38]
Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.
Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!
Bongo sijui kwanini wanahusudu namba mpya! Wakati kuna gari kama LC 70 series namba A ziko vizuri na zinapiga kazi kuliko hata baadhi ya hizi namba D!
Mbeya nimepiga sn trip nilishatoka dom saa 12 jion saa 7 ucku nipo mby afu nkaunga mpk chunya.pale town kituo ni savoy g house mafiat mwendo wa [emoji200][emoji482]Nimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,
Halafu sijaona aliyeanzia trip Yake Mbeya,,ina maana Mbeya wote hatuna magari mwee[emoji38].
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua miwani ya kuendeshea gari usiku, vizuri uagize nje moja kwa moja.Hapo kwenye suala la miwani sasa hapo ndipo mtihani ulipo. Sijui kwanini pamoja na kujigundua kuwa nina hili tatizo ila bado sipendi kujizoesha kuvaa miwani.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Duh umetisha unataja gari kwa code za kitaalam kabisa!
Wabongo tuna mambo ya ajabu sana. Anyway sishangai kuna watu wao hununua gari ilimradi tu wafike wanakoenda wakiwa wamekaa ndiyo maana wanahusudu namba.[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
Kuna mchizi halafu ni mwanajeshi, alinunua Porte, jamaa alikuwa anavimba..
Nikasema " Huyu akipewa Prado, atagonga magari ya watu makusudi "..
Daah ile barabara ya Chunya nimeimiss sana! Safari hii nikienda Mbeya lazima niende tena Chunya hadi Makongolosi nikiweza!Mbeya nimepiga sn trip nilishatoka dom saa 12 jion saa 7 ucku nipo mby afu nkaunga mpk chunya.pale town kituo ni savoy g house mafiat mwendo wa [emoji200][emoji482]
Shukrani mkuuNunua miwani ya kuendeshea gari usiku, vizuri uagize nje moja kwa moja.
Mkuu Siri moja ya Nissan Patrol ukiwa off road ni comfortability. Ukiendesha L/Cruiser Hardtop, Defender au Pajero huwa hazina utulivu kama wa Nissan.Hata mimi siyakubali,
Hata sababu sina , ila @28 years of service , full aircon , jamaa apewe tu hongera kwa kulitunza.
Khaa![emoji38]
Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.
Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁😁😁😁Duuh hadi nakuonea wivu! Sipendi kukaa mkoa mmoja kwa muda mrefu aisee!
Tabora mkuu, kesho asubuhi safari ya Dodoma na sio mwanza tena 😀😀😀😀.. huwa nikitoka kwenye kuendesha kama hakuna shughuli napenda kupumzika sanaHoly Man the legend uko mkoa gani sasa hivi ? Tabora?