Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hata mimi nilikuwa mgumu sana kuchongesha miwani,,ila niliitafuta mwenyewe.

"Unaingia darasani Mwalimu anatiririka tu ubaoni,unasikia tu"hii inakuja hivi"hapo wenzio wanatikisa vichwa kuitikia,wewe unabana macho ili uone na kuona huwezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi chuo ilinipa shida maana nilikuwa sioni pale mbele hasa kama nikikaa siti za nyuma! Sasa unakuta mwalimu anaenda fasta anapeleka tu slides hana habari basi nikawa naelewa hivyo hivyo kwa kumsikiliza tu siyo lazima niandike!
 
Nimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,
Halafu sijaona aliyeanzia trip Yake Mbeya,,ina maana Mbeya wote hatuna magari mwee[emoji38].

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wenyeji wa huko hawapo kwenye huu uzi! Binafsi naona mikoa ya southern highlands ndiyo ina sehemu nyingi sana za kutembelea!
 
[emoji38]

Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.

Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna siku mida ya saa 9 nlilipaki nyuma ya tanker la mafuta pale Kibaigwa nikajilaza nipunguze usingizi.

Ndoto ikaja niko kibati halafu kuna kuna kicheche cha tanker la mafuta naenda kukivagaa. Kukurupuka usingizini na kufungua macho naona lori lilelile nililoliota liko mbele yangu sasa live. Panic yake mzee, mpaka kuja kugundua nilikuwa naota nimeshateseka sana.

Nikalaza vizuri kiti nikaendelea kulala. [emoji23]
Mkuu hii ni noma sana aisee, Nakuvutia picha mzee jinsi ulivyotaka kutoka na vioo.
 
Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!

Bongo sijui kwanini wanahusudu namba mpya! Wakati kuna gari kama LC 70 series namba A ziko vizuri na zinapiga kazi kuliko hata baadhi ya hizi namba D!
Duh umetisha unataja gari kwa code za kitaalam kabisa!
 
[emoji38]

Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.

Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha ndivyo yalivyo....[emoji23][emoji23]
 
Hahaha nikakumbuka ile comment yako iko juu kule sijui namba ngapi! Eti "unakutana na Porte namba E jamaa kapiga miwani meusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush hapo wenye namba D kushuka chini wote anawaona washamba tu" aisee nilicheka sana maana nilijikuta kichwani natengeneza picha ya aina ya huyo jamaa uliyemuelezea halafu yuko ndani ya Porte daah!

Bongo sijui kwanini wanahusudu namba mpya! Wakati kuna gari kama LC 70 series namba A ziko vizuri na zinapiga kazi kuliko hata baadhi ya hizi namba D!
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
Kuna mchizi halafu ni mwanajeshi, alinunua Porte, jamaa alikuwa anavimba..

Nikasema " Huyu akipewa Prado, atagonga magari ya watu makusudi "..
 
Nimepitia uzi mzima,hakuna aliyepiga trip ya Mbeya,,
Halafu sijaona aliyeanzia trip Yake Mbeya,,ina maana Mbeya wote hatuna magari mwee[emoji38].

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya nimepiga sn trip nilishatoka dom saa 12 jion saa 7 ucku nipo mby afu nkaunga mpk chunya.pale town kituo ni savoy g house mafiat mwendo wa [emoji200][emoji482]
 
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
Kuna mchizi halafu ni mwanajeshi, alinunua Porte, jamaa alikuwa anavimba..

Nikasema " Huyu akipewa Prado, atagonga magari ya watu makusudi "..
Wabongo tuna mambo ya ajabu sana. Anyway sishangai kuna watu wao hununua gari ilimradi tu wafike wanakoenda wakiwa wamekaa ndiyo maana wanahusudu namba.
 
Hata mimi siyakubali,
Hata sababu sina , ila @28 years of service , full aircon , jamaa apewe tu hongera kwa kulitunza.
Mkuu Siri moja ya Nissan Patrol ukiwa off road ni comfortability. Ukiendesha L/Cruiser Hardtop, Defender au Pajero huwa hazina utulivu kama wa Nissan.

Hongera zimfikie mmiliki kwa kutunza, Nissan ni gari ya mjapani ambayo haitaki janja janja kama Toyota.
 
[emoji38]

Nje ya mada:
Kuna dada miwani yangu ishamdondosha, alikuwa anaona vitu vinapanda na kushuka .
Amechukua akapigie picha,mimi nilimwambia hawezi kuvaa,akabisha.

Alivyorudi akanishangaa eti naonaje na nawezaje kutembea!
Wakati huo na mimi namshangaa imemdondoshaje!

Sent using Jamii Forums mobile app
Khaa!

Asante kwa ma upendo kama yote
like za kumwaga
 
Back
Top Bottom