Oh nimeelewa sasa. Ila tuvumiliane tu kukusindikiza nacho kipaji ujue! 😂😂😂Oh!
Ipo hivi mizani now days ni vpn
Sina neno zuri la kiswahili[emoji23]
Nikishapima bandarini VGM, pote nitakapopita uzito upo sawa kama inavyotakikana
Kwa hiyo tuchukulie mfano pale Vigwaza, kuna mzani kabla ya mzani(sijui naeleweka?)
Ukini pita pale ule mzani utasoma gari yako na mzigo nilioubeba so far red light itawaka kunielekeza niingie wa corfirm
Lakini ukiniacha na ukanipa distance utaona wote tunanyooka bila mimi kuingia mzani
Sauti ipo sawa?
Mie ni mjumbe tu angalau nina access ya kuingia humu, tupo wengiOh nimeelewa sasa. Ila tuvumiliane tu kukusindikiza nacho kipaji ujue! [emoji23][emoji23][emoji23]
AshenaleeUjumbe umefika
Wazee wa Igende Ibwele "Iende irudi".Mie ni mjumbe tu angalau nina access ya kuingia humu, tupo wengi
Tunapokutana tukipika ugali huko selenje, mpika, ramadi na mtukula huwa tunalizungumza
Msituchukie..[emoji3]
Truck tofautisha na Mende ingawa zote zaweza kuwa na gia 10/12Wazee wa Igende Ibwele "Iende irudi".
AseeTruck tofautisha na Mende ingawa zote zaweza kuwa na gia 10/12
Truck ni msisimuaji wa uchumi
Mende ni mchavushaji wa uchumi
Sauti ipo sawa?
nimeona kwenye 50million, vitonga vitaangamiza sana watu 😀😀😀JF Raha sana. Huku tuko busy tunajadili kupiga trip,thread nyingine wako busy kujipiga selfies,thread nyingine wanajadili atokee mwanaume awape 50m watoe Tigo,huko siasani wengine wanataka kutoana macho! Yaani ni burudani! 😂😂
Kile kipande kumbe bado hawajachapa mkeka bado duh! Basi siendi huko acha nitulie tuuuNipo mwighumbi(wapenzi wa picha samahanini sana, Sitaweza) nimetoka Maswa saa tatu kasoro hivi
Vumbi kama lote, barabara wanaikata vipande kuitengeneza, nakula mishkaki hapa na kutakasa koo
Alfajiri nianze mdo mdo kuwaletea mahitaji wana mzizima[emoji3]
Tuombeane heri..
Wapo poa sana hata usiku jamaa wana roho kabisa kama za sie ma rastafarai 😎😎All the best. Katika watu nawakubali barabara kuu ni nyinyi. Yaani nikiwapita lazima nipige kahoni na kwa uungwana wenu huwa mnajibu.
Trucks wana heshima sana,hawana papara kwasababu wanajua madude hayo ukikosea ni balaa. Truckers I salute you.
Ila uzuri wameandika vibao sema wahuni hawa eshimu wanafatana nyuma nyumaOh!
Ipo hivi mizani now days ni vpn
Sina neno zuri la kiswahili[emoji23]
Nikishapima bandarini VGM, pote nitakapopita uzito upo sawa kama inavyotakikana
Kwa hiyo tuchukulie mfano pale Vigwaza, kuna mzani kabla ya mzani(sijui naeleweka?)
Ukini pita pale ule mzani utasoma gari yako na mzigo nilioubeba so far red light itawaka kunielekeza niingie wa corfirm
Lakini ukiniacha na ukanipa distance utaona wote tunanyooka bila mimi kuingia mzani
Sauti ipo sawa?
Duuh huo uzi unasemaje wakuunimeona kwenye 50million, vitonga vitaangamiza sana watu [emoji3][emoji3][emoji3]
Search kwenye kitufe cha Jf, andika tigo 50 utapata majibuDuuh huo uzi unasemaje wakuu
Huo uzi nimeenda una matusi hatari sio mzuri kwa afya ya hisia upo kama Video za ngonoDuuh huo uzi unasemaje wakuu
Nimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyoHuo uzi nimeenda una matusi hatari sio mzuri kwa afya ya hisia upo kama Video za ngono
Mungu anakuandaa kuwa mchungaji 🤓🤓🤓Nimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyo
Mfano kipindi cha mwaka jana na juzi kurudi nyuma nilikuwa sikosi kuchangia kwenye mada kama hizo whether positively au negatively na nilikuwa nazifuatilia sana
Lakini kuanzia mwaka jana mwishoni hadi sasa hivi najiona naanza kuzipotezea mada kama hizo na nakosa interest nazo kabisa na kusoma au kuchangia ni mara chache sana
Crown unaibembeleza sana kwenye rough roadSasa sisi wa Crown utasemaje? Mbona mna overate Sana hio ground clearance,rough road?! Hizi sedan zooote nchini inamaana wanaendesha kwa shida sana?!!!
Umekuwa sana naona una grow kimtazamo natarajia mazuri zaidi umri wa kuoa unagonga hodi naoNimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyo
Mfano kipindi cha mwaka jana na juzi kurudi nyuma nilikuwa sikosi kuchangia kwenye mada kama hizo whether positively au negatively na nilikuwa nazifuatilia sana
Lakini kuanzia mwaka jana mwishoni hadi sasa hivi najiona naanza kuzipotezea mada kama hizo na nakosa interest nazo kabisa na kusoma au kuchangia ni mara chache sana
Hahaaa umri wa kuoa tenaUmekuwa sana naona una grow kimtazamo natarajia mazuri zaidi umri wa kuoa unagonga hodi nao
Yeah nilikuwa nangoja ukue kue kwanza ili tuendane kimtazamo😍Hahaaa umri wa kuoa tena