Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Oh!

Ipo hivi mizani now days ni vpn

Sina neno zuri la kiswahili[emoji23]

Nikishapima bandarini VGM, pote nitakapopita uzito upo sawa kama inavyotakikana

Kwa hiyo tuchukulie mfano pale Vigwaza, kuna mzani kabla ya mzani(sijui naeleweka?)

Ukini pita pale ule mzani utasoma gari yako na mzigo nilioubeba so far red light itawaka kunielekeza niingie wa corfirm

Lakini ukiniacha na ukanipa distance utaona wote tunanyooka bila mimi kuingia mzani

Sauti ipo sawa?
Oh nimeelewa sasa. Ila tuvumiliane tu kukusindikiza nacho kipaji ujue! 😂😂😂
 
Nipo mwighumbi(wapenzi wa picha samahanini sana, Sitaweza) nimetoka Maswa saa tatu kasoro hivi

Vumbi kama lote, barabara wanaikata vipande kuitengeneza, nakula mishkaki hapa na kutakasa koo

Alfajiri nianze mdo mdo kuwaletea mahitaji wana mzizima[emoji3]

Tuombeane heri..
Kile kipande kumbe bado hawajachapa mkeka bado duh! Basi siendi huko acha nitulie tuuu
 
All the best. Katika watu nawakubali barabara kuu ni nyinyi. Yaani nikiwapita lazima nipige kahoni na kwa uungwana wenu huwa mnajibu.
Trucks wana heshima sana,hawana papara kwasababu wanajua madude hayo ukikosea ni balaa. Truckers I salute you.
Wapo poa sana hata usiku jamaa wana roho kabisa kama za sie ma rastafarai 😎😎
 
Oh!

Ipo hivi mizani now days ni vpn

Sina neno zuri la kiswahili[emoji23]

Nikishapima bandarini VGM, pote nitakapopita uzito upo sawa kama inavyotakikana

Kwa hiyo tuchukulie mfano pale Vigwaza, kuna mzani kabla ya mzani(sijui naeleweka?)

Ukini pita pale ule mzani utasoma gari yako na mzigo nilioubeba so far red light itawaka kunielekeza niingie wa corfirm

Lakini ukiniacha na ukanipa distance utaona wote tunanyooka bila mimi kuingia mzani

Sauti ipo sawa?
Ila uzuri wameandika vibao sema wahuni hawa eshimu wanafatana nyuma nyuma
 
Huo uzi nimeenda una matusi hatari sio mzuri kwa afya ya hisia upo kama Video za ngono
Nimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyo

Mfano kipindi cha mwaka jana na juzi kurudi nyuma nilikuwa sikosi kuchangia kwenye mada kama hizo whether positively au negatively na nilikuwa nazifuatilia sana

Lakini kuanzia mwaka jana mwishoni hadi sasa hivi najiona naanza kuzipotezea mada kama hizo na nakosa interest nazo kabisa na kusoma au kuchangia ni mara chache sana
 
Nimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyo

Mfano kipindi cha mwaka jana na juzi kurudi nyuma nilikuwa sikosi kuchangia kwenye mada kama hizo whether positively au negatively na nilikuwa nazifuatilia sana

Lakini kuanzia mwaka jana mwishoni hadi sasa hivi najiona naanza kuzipotezea mada kama hizo na nakosa interest nazo kabisa na kusoma au kuchangia ni mara chache sana
Mungu anakuandaa kuwa mchungaji 🤓🤓🤓
 
Nimeusoma na nikajiuliza sijui ndiyo nimeanza kuzeeka au ni kwamba kadiri umri unavyozidi kuenda ndivyo kuna baadhi ya vitu nazidi kukosa interest navyo

Mfano kipindi cha mwaka jana na juzi kurudi nyuma nilikuwa sikosi kuchangia kwenye mada kama hizo whether positively au negatively na nilikuwa nazifuatilia sana

Lakini kuanzia mwaka jana mwishoni hadi sasa hivi najiona naanza kuzipotezea mada kama hizo na nakosa interest nazo kabisa na kusoma au kuchangia ni mara chache sana
Umekuwa sana naona una grow kimtazamo natarajia mazuri zaidi umri wa kuoa unagonga hodi nao
 
Back
Top Bottom