Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Usema kweli nimetembea KM kibao hadi nafikiri mwanzo wa mwaka kubadirisha gari zote au mwisho wa mwaka zisije anza kuroga roga [emoji2572][emoji2572][emoji2572]
Fuga limekula 26000 kms since january mpka sasa. Service cost yake sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikiandika hapa hata mtu aliyetamani kulimiliki atasusa
 
Fuga limekula 26000 kms since january mpka sasa. Service cost yake sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikiandika hapa hata mtu aliyetamani kulimiliki atasusa
lazima mfuko ujue kusema lugha moja na hicho chombo bila hivyo utaishia kutukana gari za nissan na kuita vimeo kumbe kimeo ni mfuko 😀😀
 
Wakubwa mnakula vinono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…