Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Anaidhalilisha mbeya🤣Haha Maranatha Hospital bhana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mnafika mwanza na mtoto tayari
Sisi tukikutana ni kumsifu tu MUNGU kama maserafi huko Mbinguni.[emoji3][emoji3][emoji3]
Lakini "Holy" Man akikutana na "Saint" Anne naamini hakitaharibika kitu
Si ndio Hapo sasaAnaidhalilisha mbeya[emoji1787]
[emoji23]huyu akija mbeya nampeleka maranatha,,tupande lift siku nzima.
Halafu Mbeya hakuna lift sana kwa sababu hakuna majengo marefu na hii ni kutokana na sehemu yenyewe ilivyo(Milima)
Safi Sana. Mie Holy Man Namuaminia.Sisi tukikutana ni kumsifu tu MUNGU kama maserafi huko Mbinguni.
Uzuri gari lake lina upako na uwepo wa MUNGU ,yaani tutakuwa tunaabudu tu hadi tunafika.
Itabidi ujumuike na sisi tumsifu MUNGU pamoja.Safi Sana. Mie Holy Man Namuaminia.
Amen. Nikipata nafasi nitajumuika nanyi mtumishi.Itabidi ujumuike na sisi tumsifu MUNGU pamoja.
Hiyo Mazda CX5 inanikonga MOYO kweliTop 90 best selling SUV global 2020
Naona Mjapani anatamba kwenye mauzo!
Ila hili Hyundai Palisade limekaa kibabe sana.
View attachment 1973327
View attachment 1973328
View attachment 1973329
View attachment 1973330
View attachment 1973331
View attachment 1973332
View attachment 1973333
View attachment 1973334
View attachment 1973335
Pesa ilopoteaje mkuuKuna Mwaka nilipiga KM buku na ushee non stop matokeo yake niliishia kupoteza pesa. Ni miaka sita umepita lakini mpaka leo sijasahau. Pesa inauma acheni tu
Mshauri mshua wako waimarishe huduma ya afya ya akili huko jeshini hasa kuwasaidia great soldiers wanaotoka kwenye battle fields kuwatolea Ile Post traumatic stress disorders.Kaziiii
Jitupe mission tu sasa. Uwe unafanya kazi ya kuhama Leo Lebanon, kesho Afrika ya Kati, mtondogoo upo Kongo.
Nashindwa kuelewa kwa Nini Peugeot zimepotea ktk ardhi yetu ilhali tulishawahi kuwa nazo na duniani bado zinatamba?
Itakuwa watu wamefunga macho kama hatuzioni vileNashindwa kuelewa kwa Nini Peugeot zimepotea ktk ardhi yetu ilhali tulishawahi kuwa nazo na duniani bado zinatamba?
Kwa wale vijana wa juzi, pale kwenye mataa ya Serena(Bibi titi/Ohio street) kulikuwa na round about. Ukinyoosha kushoto kwako kulikuwa na Peugeot house ambapo kulikuwa kunauzwa Peugeot mpya kabisa!Nashindwa kuelewa kwa Nini Peugeot zimepotea ktk ardhi yetu ilhali tulishawahi kuwa nazo na duniani bado zinatamba?
Wanakuwa abandoned na kina nani?Mshauri mshua wako waimarishe huduma ya afya ya akili huko jeshini hasa kuwasaidia great soldiers wanaotoka kwenye battle fields kuwatolea Ile Post traumatic stress disorders.
Vijana wengi wanakuwa abandoned and neglected.
Wengi wapo tu mtaani katika umri mdogo huku uchumi ukiwa mbovu.-ila hili siyo muhimu katika hoja yangu.Wanakuwa abandoned na kina nani?
Duh sijaona mtu mwenye shida hizo aisee.Wengi wapo tu mtaani katika umri mdogo huku uchumi ukiwa mbovu.-ila hili siyo muhimu katika hoja yangu.
Hoja yangu ya msingi ningependa kuona afya ya akili inaimarishwa vyema na kutiliwa mkazo jeshini. Nadhani inahitajika sana.