ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Nimeacha mbio na ligi. Its too expensive kwa bei hizi za mafuta. Sahizi naweka snow mode on muda wote.Hizo sio kubwa jinga....you are just too quick!
Kwa bei ya wese sasa hivi, ligi ni kutupa hela barabarani.Nimeacha mbio na ligi. Its too expensive kwa bei hizi za mafuta. Sahizi naweka snow mode on muda wote.
Plus kuna majinga ukifanya nayo ligi yanakosa umakini yanakuja kukuvaa from behind.
Naskia kirima pamewaka, umefanyika ukarabat wa nguvu!Ungesogea serengeti serengeti au kilima [emoji41][emoji41]
Alijiongeza , naona maeneno mengi wamejiongezaNaskia kirima pamewaka, umefanyika ukarabat wa nguvu!
[emoji23]We ni muhaya?
Ndio hivyoDuh bei kubwa hio, wapi huko maanake 100,000/24 ni kama 4,166 per litre
Na wale mademu wa kusuuza wapoUngesogea serengeti serengeti au kilima [emoji41][emoji41]
Walipona kweli
Mademu tena..Na wale mademu wa kusuuza wapo
V8 bwegeMkuu
Hapo unenena
Juzi nimetoka mto wa mbu alfajiri ya saa tisa
Kunapambazuka nipo makanya mbele kidogo pale bwiko v8 bwege hii
Nikaichapa nilikuwa nateleza na 150kph
Ruminion[emoji41]
Ajabu leo tumekutana hapa mahali kumbe jamaa alikariri chombo
Sasa ndio ananiuliiza ilikuwa kuwaje[emoji1787]
Namchekii nakula safari mdogo mdogo
Yaani alikereka na anaomba ligi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu, ligi ninayo na hizi ITs, abiria huwa sichukui ila nikionana na member wa road trip itakua safiUnataka ligi au abiria?
Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanksMkuu tupe mrejesho.
Hongera mkuu.Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks
Mkuu kwa uzoefu wako Kati ya toyota hilux ,diesel ile ya 2.7cc 2010 na hizo new model za kuanzia 2015 kama hiyo uloendesha ya 2018 , ipi toleo bora na inakimbia zaidi? Mi nauza nissan Navara iko juu ya mawe nataka nikachukue toyota hilux zile za south africa za 2010 ,.pia Kati ya diesel na petrol ipi bora kwa uzoefu wako Mkuu?Mkuu nipo salama baada ya ligi kali na IT'S,nipo border kesho ninahamia kwa H&H,ila sikukutana na mzee yeyote wa Road trip, T1 yetu inahitaji bado matengenezo makubwa hasa kati ya Mbeya na Tunduma, kipande cha Igawa hadi Uyole, na we need urgent kazi pale Kitonga Pass, ligi hawakuiweza bcs under the bonnet nilikua na 2.4L,Toyota Hilux model 2018,one full tank kutoka Dar hadi Tunduma,80L thanks