Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
A wale jamaa tumewatafuta sana ila kuna jamaa alikuwa na alphard nyeusi nae aliuwasha moto sanaa ila alikuwa na vituo vingi sanaaaa.Hio gari niliiona Tabata sheli mchana wake, ile mashine ni VX-R lazma ingewakalisha tu. Moto wake sio wa kitoto.