Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Hello waheshimiwa.
Nina safari ya Kahama-Dar mwezi huu, zaidi ya kilometer 1,000.

Umbali niliowahi kuendesha gari non stop ni kilometer 300 tu.

Je nitatoboa? Mna ushauri gani?
Gari ndogo cc 1490.
Mshana Jr
Anza Safari Mapema saa 10 alfajiri barabara haina fujo Utaenda kulala Moro maana utafika saa 9 au 10 ya Jioni.

Hapo nimepiga unatembea speed ya 80 ile,pia usitake league njiani Speed nzuri ya usalama ni 80 hadi 120 cheza tu humo na usi overtake kwa kubet na usiovertake kwa akili ya Dereva mwenzio hasa mabasi chap unakula Bunda wale jamaa ni hovyo sana,pia usiwe dereva wa kutoa Mguu wa kushoto nje kila Muda unapopishana na mtu au ma bus yanapokupigia horn nyuma yako wewe kaa kati akitaka apae au aangalie site aovertake labda pale inapokubidi kufanya fair cheza Fair.

Pia uwe na vituo Singida nyoosha Miguu kidogo na Dodoma tena nyoosha mgongo na miguu kisha Morogoro pumzika.​
 
IMG-20240217-WA0009.jpg

Guess location please ..
 
Anza Safari Mapema saa 10 alfajiri barabara haina fujo Utaenda kulala Moro maana utafika saa 9 au 10 ya Jioni.

Hapo nimepiga unatembea speed ya 80 ile,pia usitake league njiani Speed nzuri ya usalama ni 80 hadi 120 cheza tu humo na usi overtake kwa kubet na usiovertake kwa akili ya Dereva mwenzio hasa mabasi chap unakula Bunda wale jamaa ni hovyo sana,pia usiwe dereva wa kutoa Mguu wa kushoto nje kila Muda unapopishana na mtu au ma bus yanapokupigia horn nyuma yako wewe kaa kati akitaka apae au aangalie site aovertake labda pale inapokubidi kufanya fair cheza Fair.

Pia uwe na vituo Singida nyoosha Miguu kidogo na Dodoma tena nyoosha mgongo na miguu kisha Morogoro pumzika.​
Asante sana kwa mwongozo.
Nitayafanya kazi.
Nikitoboa Moro mbona itakuwa poa sana.
 
Anza Safari Mapema saa 10 alfajiri barabara haina fujo Utaenda kulala Moro maana utafika saa 9 au 10 ya Jioni.

Hapo nimepiga unatembea speed ya 80 ile,pia usitake league njiani Speed nzuri ya usalama ni 80 hadi 120 cheza tu humo na usi overtake kwa kubet na usiovertake kwa akili ya Dereva mwenzio hasa mabasi chap unakula Bunda wale jamaa ni hovyo sana,pia usiwe dereva wa kutoa Mguu wa kushoto nje kila Muda unapopishana na mtu au ma bus yanapokupigia horn nyuma yako wewe kaa kati akitaka apae au aangalie site aovertake labda pale inapokubidi kufanya fair cheza Fair.

Pia uwe na vituo Singida nyoosha Miguu kidogo na Dodoma tena nyoosha mgongo na miguu kisha Morogoro pumzika.​

Daaah yani atoke dar saa 10 alfajiri afike moro saa 10 jioni anatembea au ana nyata[emoji23] yani hapo akanyage akalale singapore au dom
 
Anza Safari Mapema saa 10 alfajiri barabara haina fujo Utaenda kulala Moro maana utafika saa 9 au 10 ya Jioni.

Hapo nimepiga unatembea speed ya 80 ile,pia usitake league njiani Speed nzuri ya usalama ni 80 hadi 120 cheza tu humo na usi overtake kwa kubet na usiovertake kwa akili ya Dereva mwenzio hasa mabasi chap unakula Bunda wale jamaa ni hovyo sana,pia usiwe dereva wa kutoa Mguu wa kushoto nje kila Muda unapopishana na mtu au ma bus yanapokupigia horn nyuma yako wewe kaa kati akitaka apae au aangalie site aovertake labda pale inapokubidi kufanya fair cheza Fair.

Pia uwe na vituo Singida nyoosha Miguu kidogo na Dodoma tena nyoosha mgongo na miguu kisha Morogoro pumzika.​
Achukue huu ushauri hasa hapo kwenye kuimega safari vipande viwili, na kwa kituo atakachoamua kulala (nashauri dodoma/morogoro kokote ambapo ataliwahi giza kulingana na mwendo wake) ASUBUHI KABLA HAJAWASHA GARI KITU CHA KWANZA AKAGUE REJETA (COOLANT/AU KAMA MZEE WA MAJI) aangalie kama imepungua ama la na pia achungulie reserve, AANGALIE KIWANGO CHA ENGINE OIL kama kimeshuka sana ama kinaruhusu, akague tairi na brake pads, KISHA AOMBE DUA AANZE SAFARI atarudia hizi steps atakapoamka pale alipoweka kituo kwa safari ya awamu ya pili...

Safari ndefu hiyo: abebe coolant ya akiba na hata lita moja ya engine oil just incase vikipungua (ingawa haishauriwi sana kuongezea engine oil)

*Asishindane na mtu, aweke vituo vya kunyoosha mgongo, asishindilie chakula kizito hasa mchana kinatia uchovu na usingizi, abebe kahawa yake kwenye chupa ndogo zile, awe anafungua vioo sometimes upepo umtoe wenge(kama atafungua cha dereva nusu afungue na cha upande wa pili cha abiria nusu ili uingie na kutoka kirahisi) na kama ni mtu wa mvinyo asiguse[emoji3]
 
Dah kitambo sn umu,wadau ni aje?
Road trips zimekua nyingi balaa zinanikeep busy mno.
Now days napiga trip za songea to kenya kila wiki km kuna mdau anamzigo kutoka tarakea kupitia arusha-babati-dodoma-iringa-makambako-njombe-songea tuwasiliane mnipe maisha kjn wenu[emoji120]
 
Dah kitambo sn umu,wadau ni aje?
Road trips zimekua nyingi balaa zinanikeep busy mno.
Now days napiga trip za songea to kenya kila wiki km kuna mdau anamzigo kutoka tarakea kupitia arusha-babati-dodoma-iringa-makambako-njombe-songea tuwasiliane mnipe maisha kjn wenu[emoji120]
Tupia picha mkuu.
 
Back
Top Bottom