Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Hamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila siku
 
Hamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila siku
Hapa tunaongelea Bongo kwa huko hatujui mazingira yao yakoje na sheria zao zikoje
 
Hamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila siku
Mbona unaenda mbali,nenda Tanga na Pemba kaulize,Watu wameokota sana makopo sababu ya albadili
 
Naweza kusema pasipo Shaka yoyote; wauaji wale walijua kama kuna Albadir, walijua ITASOMWA tu. Albadiri haina uhusiano wowote na Mungu, albadiri ni uchawi wa kidini; wauaji ni wachawi waliopitiliza; hakuna kitu kitawapata; wanajiamini cause wamebobea kwenye masuala ya kamati. Mungu pekee yake ndio anaweza kutoa ADHABU kwa wale wauaji.
 
Baadhi ya Wapemba hawataki muungano mbona hawajausomea albadili uvunjike ?
Hujaelewa maana ya Albadiri kumbe ndio maana unauliza maswali ya aina hiyo.
Albadir huwa haisomwi hovyo hovyo kama kununua Soda dukani huwa unamsomea mtu pale inapothibitika amekufanyia uovu uliokithiri na ukimsomea mtu kwa kumsingizia kosa inakurudia mwenyewe sasa kwenye ishu ya Muungano tulikubaliana wote tuungane hakuna mwenye kosa hapo utamsomea nani sasa
 
Duh una hasira mbaya hufai kua kiongozi kma mama samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…