mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Pemba wako wengi wenye imani wakikusomea hawakukosi ila kwa Dar ujanja ujanja tu.Hio dua lazma kwanza msomaji awe msafi kwelikweli, na iliwezekana sana enzi hizo kwa sasa labda waroge ila kukuta mtu msafi wa kukusomea albadili ikafanya kazi kwa sasa ngumu
Hamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila sikuHiyo haina masihara huwa haikosei kama atakayeisoma ni kweli ni mtaalamu achilia mbali na matapeli wa mjini wanaojifanya wanaijua kuisoma ili wapige hela.
Hiyo ni tofauti kabisa na mambo ya tunguri yenyewe inatenda haki kwa kumchagua kila aliyehusika na jambo ambalo limenuiwa na ikitumwa hairudi nyuma na haina tiba.
Hapa tunaongelea Bongo kwa huko hatujui mazingira yao yakoje na sheria zao zikojeHamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila siku
Mbona unaenda mbali,nenda Tanga na Pemba kaulize,Watu wameokota sana makopo sababu ya albadiliHamas wangeshinda vita dhidi ya Israel hizo dua za Alibadili waislamu imani kali wakiiombea sana wayahudi washindwe kuwa wanadhulumu wapalestina haijafanya kazi .Hamas na wapalestina wanapukutika kila siku
Kila ndimu inawakilisha kichwa cha mtuMimi na wanangu wa kitaa tunafanya yetu kama mnavyoona ila ianzie kwa Peter Msigwa huyu tunamgeuza awe choko anayejiuza
Kwa hiyo mkuu unafikiri tanga hakuna mtu alishawahi kuishi?Mbona unaenda mbali,nenda Tanga na Pemba kaulize,Watu wameokota sana makopo sababu ya albadili
Ila CCM wameshindwa kuitoa madarakani huko Zanzibar na Tanga wakisema ohh tumeibiwa kuraMbona unaenda mbali,nenda Tanga na Pemba kaulize,Watu wameokota sana makopo sababu ya albadili
Mbona hata Dar wako wengi tu wanaokota makopo walifanya wizi kisha wakasomewa AlbadiriKwa hiyo mkuu unafikiri tanga hakuna mtu alishawahi kuishi?
Wanaokota makopo marekani je?Mbona hata Dar wako wengi tu wanaokota makopo walifanya wizi kisha wakasomewa Albadiri
Kamwibie Mpemba ili uthibitishe unayoyasemaHamna kitu, utapeli mtupu.
Huu ujinga mnautetea kwa maneno tu, unaweza kusoma hiyo albadiri?Kamwibie Mpemba ili uthibitishe unayoyasema
Baadhi ya Wapemba hawataki muungano mbona hawajausomea albadili uvunjike ?Kamwibie Mpemba ili uthibitishe unayoyasema
Huu ni ujinga tuBaadhi ya Wapemba hawataki muungano mbona hawajausomea albadili uvunjike ?
Kila mahali kuna utamaduni tofauti si kila kitu lazima tufanane kila nchi,huko marekani mchawi wao ni drugs na depression ya ugumu wa maishaWanaokota makopo marekani je?
Hujaelewa maana ya Albadiri kumbe ndio maana unauliza maswali ya aina hiyo.Baadhi ya Wapemba hawataki muungano mbona hawajausomea albadili uvunjike ?
Hapana wanajua wenyewe wanachokifanyalakini si wanatoa kwenye kitabu kitakatifu cha waislamu? Ama?
Ugumu wa maisha upi? Ukiwa mvivu lazima upate ugumuKila mahali kuna utamaduni tofauti si kila kitu lazima tufanane kila nchi,huko marekani mchawi wao ni drugs na depression ya ugumu wa maisha
Duh una hasira mbaya hufai kua kiongozi kma mama samiaIla kama inafanya kazi naona Albadiri isomwe tu ili waovu wapate haki yao. Hata kama kuna mshirikina mwenye uhakika na kazi yake tupo tayari kumlipa ili mradi waliofanya unyama wakione cha moto. Pata picha ni baba yako kashushwa kwenye basi ili kwenda kuuliwa? Ungejisikiaje? Binafsi kuna mama jirani alimlaza mama yangu selo kwa ugomvi wao hadi leo sijawahi samehe... Mama yangu na huyo mama washasameheana kitambo mno na ni marafiki ila mimi nimemtakia mama yangu mimi nitaendelea kumchukia huyo rafiki bila kujali kuwa wamepatana. Mzazi anauma mno.