Kwenye uonevu hata wakifabya ushirikina kuna shida gani?Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Maradhi gani kama sukari alikuwa nayo miaka yote ? Unadhani alifariki akiwa na miaka mingspi?Uzee au maradhi
Mrema alikuwa na uzee gani
Sema maradhi yalimtandika
Ova
Muislamu anajua madhara ya ushirikinaKwenye uonevu hata wakifabya ushirikina kuna shida gani?
Acheni kujiteteaNi namna TU ya kuwatisha watu kisaikolojia hususani wasiofahamu uislam
Naogopa cctv cameras sio hizo dua za kiimani.Kamwibie Mpemba ili uthibitishe unayoyasema
Usiwakatishe tamaa.Hakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Police njoeni muanze na huyu alihusika kumteka mzee kibaoHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Ndo ivo.Nataka ile mpk kwa maza
Hao wazee wa pemba uliowasifia nao watafanya "dua ya ulinzi" nadhani nimeeleweka so mpaka hapo ni 0:0Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Inafanya kazi au haifanyi? Hayo ya ushirikina hatutaki kujua.Sio kweli hmna chochote ni ushirikina tu kma wengine wanavoenda kwa waganga
God Bless TanganyikaKutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
PIA SOMA
- TANZIA - Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Basi sawaMuislamu anajua madhara ya ushirikina
Kujitetea Kwa lipi? Nimesema hizo albadiri hazipo kisheria ktk dini Kwa wanaofahamuAcheni kujitetea
Ngoja walakonde wakusikieHhhhhhhh uchawi ungekua unfnya kazi kma unavoamini coastal union angekua bingwa kila msimu
🤣🤣Kwahiyo naye kasomewa?Netanyahu anatetemeka hovyo sasa.