Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Kwenye uonevu hata wakifabya ushirikina kuna shida gani?
 
Ni namna TU ya kuwatisha watu kisaikolojia hususani wasiofahamu uislam
 
Uzee au maradhi
Mrema alikuwa na uzee gani
Sema maradhi yalimtandika

Ova
Maradhi gani kama sukari alikuwa nayo miaka yote ? Unadhani alifariki akiwa na miaka mingspi?
 
Wahusika Wapo wanaandaa mfumo wa kuzuia makombora.
 
39:65

Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri.

Hii ndo adhabu ya mwenye kufanya shirki mtu ambae ana akili hawezi kuziporomosha amali zake za miaka dahari
 
Usiwakatishe tamaa.
 
Police njoeni muanze na huyu alihusika kumteka mzee kibao
 
Hao wazee wa pemba uliowasifia nao watafanya "dua ya ulinzi" nadhani nimeeleweka so mpaka hapo ni 0:0
 
God Bless Tanganyika
 
Kama watahitaji msaada wa kifedha ntaweka chochote wazeee wa Tanga fanyeni jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…