4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Nimeanza mfungo binafsi tangu usiku wa kuamkia leo , nimerudi rasmi msalabani kutua machozi yangu , Mungu wangu mwaminifu sana . Nimejitakasa na nipo na kazi hii kwa siku 14 , moja ya maombi yangu .
Nikujua kama watawala wa kipindi ichi ni kwa neema yake Bwana au la , na kama sio Mungu anioneshe kwa vitendo ndani ya siku 47 bila kujali yatakua ya maumivu kwa kiasi gani kwa upande mwingine wa shilingi.
Pili ninaomba Jua chimbuko la laana hii ndani ya hili taifa, mzizi wake na namna ya kuuchomoa ,Mungu wangu mwaminifu sana
7+4 == 11 , twende kazi wao wapo na vyeo na mabunduki sie tupo na No11 , malaika wote wamejaa tele twende kazi
Nikujua kama watawala wa kipindi ichi ni kwa neema yake Bwana au la , na kama sio Mungu anioneshe kwa vitendo ndani ya siku 47 bila kujali yatakua ya maumivu kwa kiasi gani kwa upande mwingine wa shilingi.
Pili ninaomba Jua chimbuko la laana hii ndani ya hili taifa, mzizi wake na namna ya kuuchomoa ,Mungu wangu mwaminifu sana
7+4 == 11 , twende kazi wao wapo na vyeo na mabunduki sie tupo na No11 , malaika wote wamejaa tele twende kazi