Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Netanyahu anatetemeka hovyo sasa.Waanze na Ban Isiraeel..
Maana pale Ufilistin panawaka moto, vipi Iran Haina Mashekh wakapiga Albadr Mpaka akina Netapaka wakafa?
Mbuzi
Weee kweli?Netanyahu anatetemeka hovyo sasa.
huwezi kuwaroga wazungu. wao walishavuka hizo stages. unafikiri waarabu hawatamani? wajuvi washaelewa. sisi kwa sisi inawezakana kufanya kazi. mimi zamani sikua naamini mambo ya uchawi mpaka nilipokuja kuona vitimbi laivu. inatisha!Weee kweli?
Hapo inafanyakaz aisee
Yakanyage uone kuna sehemu viliibiwa vifaa vya Salon ya Kike likawekwa tangazo. Wanatoa siku 3 vifaa virudishwe lasivyo itasomwa Albadr. Zikapita siku tatu baada ya hapo vijana kama wanne walianza kupukutika kama majaniHakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
Kamsome Mwanamalundimimi kitu nawaza hizi mbinu kipindi cha ukoloni zilikua wapi? sjawahi pata jibu mkuu unaweza jibia?
Kufa ni kitu cha asili mkuuYakanyage uone kuna sehemu viliibiwa vifaa vya Salon ya Kike likawekwa tangazo. Wanatoa siku 3 vifaa virudishwe lasivyo itasomwa Albadr. Zikapita siku tatu baada ya hapo vijana kama wanne walianza kupukutika kama majani
Hakuna kitu kama hicho, hakuna cha dua,maombi,wala holly grail itakayotokea automatically bila kuchukua hatua, kuna level fulani ambayo ukiifikia unaambiwa "UKWELI" hapo ndipo mtu anakuwa huru kutoka kwenye hizo pingu za kutegemea ama kuamini kitu kisichokuwepo, samia ameshaujua "UKWELI" ndiyo maana sasa hivi yupo "HURU".Mkuu subiri.. kwenye tawala iliyopita albadiri ilifanya kazi kama hufahamu
Duuuuu Hatari TANGA,Huu ndio ujinga wetu Africa, waarabu na dini yao wameshindwa kufanya kwa wazayuni wanauwawa kila siku kwa kupigania haki yao ,ndio nyie wamatumbi wakuletewa dini mfanye😅😅😅😅😅😅
Zero brainHakuna kitu kama hicho, hakuna cha dua,maombi,wala holly grail itakayotokea automatically bila kuchukua hatua, kuna level fulani ambayo ukiifikia unaambiwa "UKWELI" hapo ndipo mtu anakuwa huru kutoka kwenye hizo pingu za kutegemea ama kuamini kitu kisichokuwepo, samia ameshaujua "UKWELI" ndiyo maana sasa hivi yupo "HURU".
Hamna kitu, imani tuKuna kisa cha kutisha kiliwahi tokea Pangani Tanga miaka hiyoo mpaka wazee wa mji wakapiga marufuku wasirudie tena sasa wakirudia kile kisomo ambao walishuhudia yale mambo wenyewe waliogopa
Ilikuwaje?Kuna kisa cha kutisha kiliwahi tokea Pangani Tanga miaka hiyoo mpaka wazee wa mji wakapiga marufuku wasirudie tena sasa wakirudia kile kisomo ambao walishuhudia yale mambo wenyewe waliogopa
Duh! Seriously?huwezi kuwaroga wazungu. wao walishavuka hizo stages. unafikiri waarabu hawatamani? wajuvi washaelewa. sisi kwa sisi inawezakana kufanya kazi. mimi zamani sikua naamini mambo ya uchawi mpaka nilipokuja kuona vitimbi laivu. inatisha!
tajiri yangu alifukia mtoto mchanga wakiwa na watu wao akaibuka mbuzi juu ya ardhi. tukio la 2007. wakamchinja. nyie acheni. waafrika wachawi mbwa.
Naungana na weweWakihitaji mchango wowote wasisite kusema wazee wetu.....
Inaitwa KURUJUANI; Haji Manara anaijua, siyo msemaji wa YANGA TENA! MZEE MAGOMA HATARIIII.Wasome ile ya mzee wa Yanga - aliyeshiriki, aliyepanga wooteeeeee!!
Sema acha waishitakie MIZIMU yao ya kiarabu. Mtume صلى الله عليه وسلم hajafundisha watu kuomba msaada kwa MIZIMU. Albadiri ni ukafiri kama ukafiri mwingine.Acha wamshtakie kwa mungu wao,nna imani waliyotenda tukio hilo sahivi tumbo joto na siajabu na wao wakateketezwa
Ova
😀😀😀😀Wameshamaliza Masauni tayari kanaswa na albadir anazunguka tu hapo msibani
Zile safari za mapumziko kule Kizimkazi mnadhani huwa za nini!? Kule huwa anaenda kuzikwa na kufukuliwa upya hivyo sio rahisi imdhuru..Hii itakula mpk kwa maza
Hamna chochote kitakachpatikana ni uzushi tuuHata kama kuna ushirikina wowote wafanye ili mradi tupate matokeo