Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Wazee wa Tanga kusoma albadir kwa waliomuua Mzee Ali Mohamed Kibao

Weee kweli?

Hapo inafanyakaz aisee
huwezi kuwaroga wazungu. wao walishavuka hizo stages. unafikiri waarabu hawatamani? wajuvi washaelewa. sisi kwa sisi inawezakana kufanya kazi. mimi zamani sikua naamini mambo ya uchawi mpaka nilipokuja kuona vitimbi laivu. inatisha!

tajiri yangu alifukia mtoto mchanga wakiwa na watu wao akaibuka mbuzi juu ya ardhi. tukio la 2007. wakamchinja. nyie acheni. waafrika wachawi mbwa.
 
Hakuna cha kisomo wala nini ajitokeze nguli anisomee mimi nife hata leo .
Yakanyage uone kuna sehemu viliibiwa vifaa vya Salon ya Kike likawekwa tangazo. Wanatoa siku 3 vifaa virudishwe lasivyo itasomwa Albadr. Zikapita siku tatu baada ya hapo vijana kama wanne walianza kupukutika kama majani
 
Yakanyage uone kuna sehemu viliibiwa vifaa vya Salon ya Kike likawekwa tangazo. Wanatoa siku 3 vifaa virudishwe lasivyo itasomwa Albadr. Zikapita siku tatu baada ya hapo vijana kama wanne walianza kupukutika kama majani
Kufa ni kitu cha asili mkuu
 
Mkuu subiri.. kwenye tawala iliyopita albadiri ilifanya kazi kama hufahamu
Hakuna kitu kama hicho, hakuna cha dua,maombi,wala holly grail itakayotokea automatically bila kuchukua hatua, kuna level fulani ambayo ukiifikia unaambiwa "UKWELI" hapo ndipo mtu anakuwa huru kutoka kwenye hizo pingu za kutegemea ama kuamini kitu kisichokuwepo, samia ameshaujua "UKWELI" ndiyo maana sasa hivi yupo "HURU".
 
Huu ndio ujinga wetu Africa, waarabu na dini yao wameshindwa kufanya kwa wazayuni wanauwawa kila siku kwa kupigania haki yao ,ndio nyie wamatumbi wakuletewa dini mfanye😅😅😅😅😅😅
Duuuuu Hatari TANGA,
 
Hakuna kitu kama hicho, hakuna cha dua,maombi,wala holly grail itakayotokea automatically bila kuchukua hatua, kuna level fulani ambayo ukiifikia unaambiwa "UKWELI" hapo ndipo mtu anakuwa huru kutoka kwenye hizo pingu za kutegemea ama kuamini kitu kisichokuwepo, samia ameshaujua "UKWELI" ndiyo maana sasa hivi yupo "HURU".
Zero brain
 
huwezi kuwaroga wazungu. wao walishavuka hizo stages. unafikiri waarabu hawatamani? wajuvi washaelewa. sisi kwa sisi inawezakana kufanya kazi. mimi zamani sikua naamini mambo ya uchawi mpaka nilipokuja kuona vitimbi laivu. inatisha!

tajiri yangu alifukia mtoto mchanga wakiwa na watu wao akaibuka mbuzi juu ya ardhi. tukio la 2007. wakamchinja. nyie acheni. waafrika wachawi mbwa.
Duh! Seriously?

Ndomaàna ukiona mtu ana pesa nyingi we enenda zako!
 
Acha wamshtakie kwa mungu wao,nna imani waliyotenda tukio hilo sahivi tumbo joto na siajabu na wao wakateketezwa

Ova
Sema acha waishitakie MIZIMU yao ya kiarabu. Mtume صلى الله عليه وسلم hajafundisha watu kuomba msaada kwa MIZIMU. Albadiri ni ukafiri kama ukafiri mwingine.
 
Back
Top Bottom