4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Tawala ya mkoloni jeMkuu subiri.. kwenye tawala iliyopita albadiri ilifanya kazi kama hufahamu
Hakuna cha maombi ya bwana yesu asiwe wala cha albadiri inayofanya kaz , huu ujinga inabidi tu deal nao jino kwa jino ikibainikaMkuu subiri.. kwenye tawala iliyopita albadiri ilifanya kazi kama hufahamu
nina uhakika unasema hayo kwa sababu hujui hayo mambo na kwa sababu hujataka kujua ipo siku utajua, kuna mtu kama wewe alisema haamini uchawi yakaja kumkuta,Huu ndio ujinga wetu Africa, waarabu na dini yao wameshindwa kufanya kwa wazayuni wanauwawa kila siku kwa kupigania haki yao ,ndio nyie wamatumbi wakuletewa dini mfanye😅😅😅😅😅😅
Kwakweli watupie kanamba tuwachangie jero ya ubaniWakihitaji mchango wowote wasisite kusema wazee wetu.....
mimi kitu nawaza hizi mbinu kipindi cha ukoloni zilikua wapi? sjawahi pata jibu mkuu unaweza jibia?nina uhakika unasema hayo kwa sababu hujui hayo mambo na kwa sababu hujataka kujua ipo siku utajua, kuna mtu kama wewe alisema haamini uchawi yakaja kumkuta,
Kwa kifupi hayo mambo ya dua ni kichaka tu ila kipo kitu halisi hufanyika na hata unaweza kumalizwa ukoo mzima , unalijua jani la mkonge? Kama una umri mkubwa kiasi mpaka hapo kukueleza jani la mkonge utakua ushapata password
Miaka 27 iyo pita nishatoa nafasi kwenye kijiji fulani maarufu waniloge wakashindwa naomba na wewe usome hiyo kitu nife mkuu, hakuna mtu anaweza kuniaminisha mambo ya kipumbavu kama ya dini na uchawi nikafuata eti kisa tu kanitishia,japo kibinadamu natambua dhamani ya mtu.nina uhakika unasema hayo kwa sababu hujui hayo mambo na kwa sababu hujataka kujua ipo siku utajua, kuna mtu kama wewe alisema haamini uchawi yakaja kumkuta,
Kwa kifupi hayo mambo ya dua ni kichaka tu ila kipo kitu halisi hufanyika na hata unaweza kumalizwa ukoo mzima , unalijua jani la mkonge? Kama una umri mkubwa kiasi mpaka hapo kukueleza jani la mkonge utakua ushapata password
Hata kama kuna ushirikina wowote wafanye ili mradi tupate matokeoHakuna cha albadiri wala albajoto mimi ni muislamu na nimechukizwa sana na hichi kitendo ila kusema ukweli izo dua za albadiri sijui albajoto hamna lolote zaidi ya watu kufanya ushirikina tu
Muislamu wa kweli anoijua vizuri dini yake hafanyi huo upuuzi
Kumwachia Mungu ni kauli ya kushindwa na kukata tamaaMimi mwenyewe kwenye tukio hili sifurahishwi na baadhi ya watu wanaosema "tumuachie Mungu"
Ujue hii inaweza kuwa simple kwasababu tu labda unaiona kwa mwenzako na haijakukuta wala kumtokea mtu wako wa karibu.
Lakini trust me ikikutokea hii ya wewe kupoteza mpendwa wako katika mazingira haya, halafu ukasikia mtu anakuambia "tumuachie Mungu" lazima kauli hiyo uione ni some sort of ridiculous.
Mkuu tuelezee ilikuaje kwa ufupi.Kuna kisa cha kutisha kiliwahi tokea Pangani Tanga miaka hiyoo mpaka wazee wa mji wakapiga marufuku wasirudie tena sasa wakirudia kile kisomo ambao walishuhudia yale mambo wenyewe waliogopa
Na bado wengine wengi wanakuja👍Kila mtu kaanza kupaza sauti.
Kutoka Tanga inaripotiwa kuwa wazee wa Tanga wamepanga kusoma dua ya kushitakia almaarufu kama albadil kwa walioshiriki kumuua mzee mwenzao Alli Mohamed Kibao.
Watakaosomewa duwa hiyo ni wale waliopanga njama za maauaji,walioshiriki kumteka,waliomuua,waliofahamu mpango mzima wa mauaji hayo,nk
Kwenye suala la duwa ukiondoa wazee wa Pemba basi wanafuata wazee wa Tanga
Bwana Mbonde Vp Mbona UmegunaDua ya kuku ?