Wazee wa UCHAGANI, mkumbusheni Rais Samia mkoa wa Kilimanjaro unapaswa kuwa jiji

Wewe kila kona unatukana watu! Hivi hiyo moshi ina nini cha maana haina mzunguko wa fedha,haina maendeleo imedumaa miaka nenda rudi pia imejaa ukabila!
Mkuu, ni vyema uandike unachojua au kukifahamu, Moshi ya 2000 sio Moshi ya 2020 tambua hilo.
Moshi ni kubwa na pana kuliko unavyofikiria, ukienda pembezoni vijijini unadhani uko 'vimji vidogo' kutokana na mpangilio na barabara kufika kwa kila kaya!
Moshi ni zaidi bro acha hizo.
 
Lete vigezo vinavyokufanya useme kwamba manispaa ya Moshi inatakuwa kuwa jiji. Bila kuleta vigezo vyako huu uzi utakuwa useless.
Ikiwa Katiba yenyewe haifuatwi ndiyo itakuwa hivyo vigezo. Ule mkoa mpya unaopigiwa jaramba uanzishwe kule katikati ya Kitovu cha utalii una vigezo kushinda Tabora na Morogoro??
 
mkoa wa Kilimanjaro au mji wa Moshi?
 
alipovikwa cheo cha Hangaya kule Sukumaland hamkukosoa!
 
morogoro napo utasema mjini? inawezekana hata kwenye top 10 ya miji bora tanzania wasiingie! moro mtasubir sana
Sasa moro utalinganisha na kijiji cha moshi kweli? Hujatembea moro wewe. Mimi coni ajabu mchagga kucfia na kusema moshi ni bora kuliko Dubai 😆but co wote
 
Huku uchagani hatutaki hata kumuona huyu bibi
Uchagani huyu ndiye rais wa mioyo yetu,hatusikii hatuambiwi,Acha kabisa lekha kabisa meku,Yaani huyu #samia ndiyo rais mpaka #2040 bhaba yangu,hata ufanyeje,na tumeanza kuipenda CCM ile mbaya,nadhani labda umeisemea #babati na chuki zao.
 
Bora ya Iringa kuliko Moshi
 
Hakuna cha vigezo wala nini, Dodoma ilitangazwa na Jiwe kuwa jiji bila kutimiza vigezo. Njia iliyotumika kwa Dodoma kwa nini isitumike kwa Moshi?
haiwezi kutumika kwa Moshi! Jiwe aliitangaza Dodoma kwasababu Dodoma ni mji wa kiserikali na ndio maana serikali ikaamua kuelekeza nguvu pala na mpaka hivi sasa kama utakuwa umetembelea siku za hivi karibuni utaona jinsi ilivyobadilika na sasa ni jiji la 4 kwa hapa bongo
 
Sasa moro utalinganisha na kijiji cha moshi kweli? Hujatembea moro wewe. Mimi coni ajabu mchagga kucfia na kusema moshi ni bora kuliko Dubai [emoji38]but co wote
mi sio mchaga .....na moro naijua vizuri sana sababu ndio my current city, ila ukweli lazima niongee " Moro bado sana sababu naijua vizur sana huenda ikawa tofauti na unavyoijua wewe
 
Uchagani huyu ndiye rais wa mioyo yetu,hatusikii hatuambiwi,Acha kabisa lekha kabisa meku,Yaani huyu #samia ndiyo rais mpaka #2040 bhaba yangu,hata ufanyeje,na tumeanza kuipenda CCM ile mbaya,nadhani labda umeisemea #babati na chuki zao.

[emoji3][emoji3][emoji3]
Nimecheka sana, inaonekana hapo ulipo unaneemeka haki
 
mi sio mchaga .....na moro naijua vizuri sana sababu ndio my current city, ila ukweli lazima niongee " Moro bado sana sababu naijua vizur sana huenda ikawa tofauti na unavyoijua wewe

Washauri watoe viwanja kwa wageni/wazawa makabila tofauti waone kama hapatabadilika.
 
mi sio mchaga .....na moro naijua vizuri sana sababu ndio my current city, ila ukweli lazima niongee " Moro bado sana sababu naijua vizur sana huenda ikawa tofauti na unavyoijua wewe
Moshi iko vizuri sana sasa hivi. Barabara mjini nyingi kama siyo zote zina lami, majengo mengi ya ghorofa yamejengwa tofauti na zamani, kuna mpangilio mzuri wa barabara na majengo, na usafi wa hali ya juu. Morogoro ni kama imesimama hakuna maendeleo ya maana.
 

Tuma picha tuone
 
Mkoa mzima hauwezi kuwa Jiji.Jiji sio hadhi ya kiutawala,ni hadhi ya kimaendeleo ya eneo husika.Mwanza kama eneo ni jiji lkn sio Mkoa wote wa Mwanza ni jiji.Moshi inaweza kuwa jiji Ila Kilimanjaro haiwezi kuwa jiji yote.
 
mkoa wa morogoro umelaaniwa ni vigumu sana kupiga hatua
 
Una maana ya mji gani? Mkoa haiwezi kuwa jiji!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…