Hii ni sehemu ya maoni, kuelimishana na Hoja mbali mbali.Wewe na nani? Kima wewe
Mkuu yani humu kuna genge la watu fulani hasa ﹰChadema na watu wa kaskazini ao wote kazi yao ndiyo iyo hawako kujadili hoja wao ni matusi na lugha chafu tuAcheni kufikiria matumbo yenu. Jengeni hoja za msingi zitakolisaidia taifa miaka 50 ijayo.
Siyo kutukana viongozi wa serikali kisa suruai yako ina viraka vyingi.
Mkuu yani humu kuna genge la watu fulani hasa ﹰChadema na watu wa kaskazini ao wote kazi yao ndiyo iyo hawako kujadili hoja wao ni matusi na lugha chafu tu
As an incumbent president, Kikwete had the final say... angeliweza kusema if that is the case nahairisha kikao mpaka huko mbele aone reaction yao.... He has the support of the army, police, and other machinery of the government particularly law enforcing ones. Kikwete alikuwa dhaifu!Wakati huo Kikwete kazi take nilikuwa imeishapungua sababu walimwambia Membe hatuwezi mpa Nchi kwa sababu walizokuwa wanaxijua wao.
Ni bora udhaifu wa kikwete kuliko udikteta wa magufuliAs an incumbent president, Kikwete had the final say... angeliweza kusema if that is the case nahairisha kikao mpaka huko mbele aone reaction yao.... He has the support of the army, police, and other machinery of the government particularly law enforcing ones. Kikwete alikuwa dhaifu!
Kuna mmoja amesema he died for a good reason,Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.
Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.
Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.
Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.
Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.
Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.
Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.
Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Mau yameanza kukauka
Hivi kwa mfano mwanafunzi anapoamua kuacha shule kwa makusudi kabisa,ni MUNGU anakuwa amepanga?Hawana huo uwezo.Mungu ndie anaepanga yote.
HahahaAngalau sasa jakaya anapata heshima anayostahili kila mama alipo na yeye yupo,
Hatamani hata kukumbuka enzi za mwenda zake.
Wa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho , all kind of frustrations, worries and upheavals!
Mzee hakuwa MTU aisee,Crap
Bush bogusMzee hakuwa MTU aisee,View attachment 1786370
Very primitive.Bush bogus
Nakuhakikishia kwamba Laanavya kumleta Magufuli itamtafuna Kikwete hadi kaburiniWa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho , all kind of frustrations, worries and upheavals!
Haukuwa mbali na ukwelisometimes nilikuwa najiuliza hivi huyu ana akili timamu kweli?! 😥😥
Aisee kifo cha jiwe kimenifunza mengi sana, Kikwete kadharaulika sana kwenye utawala wa Jiwe, hata vijana wadogo walikuwa wanamtukana! Leo hii mama haingiliki na yeyote, Mlango pekee wa kumfikia mama kiurahisi kwa sasa ni huyo Kikwete waliyemdharau, maana yule katibu mkuu kiongozi ni kauzu balaa. And Majaliwa na Mpango nao hawanaga time na chawa.Angalau sasa jakaya anapata heshima anayostahili kila mama alipo na yeye yupo,
Hatamani hata kukumbuka enzi za mwenda zake.