KaziIendelee
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 327
- 229
Hahahahahaha....haya banaKwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Bro, shauri yako. Endelea kudai evidence.Ameshaagiza tuletee evidence, au umesikia tu story..!!
Hakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari?Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
hiyo sio kazi yangu. Mimi nimekudokeza tuHiyo kampuni mmiliki halisi ni Nañi? Na kama ni Mwigulu Nchemba ameikabidhi Kwa board of trustee waiendeshe na yeye kukaa pembeni?
Pili bill of loading ni dollar ngapi na calculation ya ushuru ni shilling ngapi? Lete details.
Hujui kituUpuuzi huu ,ikiwa huna details za utajiri wa ester vipi unaleta uchonganishi haoa???
Kwahiyo hapa tujadili umbea tu bila fact na evidence?hiyo sio kazi yangu. Mimi nimekudokeza tu
Take my words.Kwahiyo hapa tujadili umbea tu bila fact na evidence?
Amerithi kwa wajomba zake wa Unyankindi na Kititimo.Mumuache alete mahela mjini.Zubaa uzikwe.😂😂😂😂Hakuna mtu atakayeshangaa Abood au Shabiby kuagiza mabasi, ni matajili kabla ya kuwa wabunge, huyu Mwigulu Nchemba Kwa miaka 10 tu kapata wapi huo utajili?