Mwenye mabasi yake si ajitokeze hapa tumalize utata!Ona huyu sasa anavyo comment kwa kujiamini na matango Pori yake hacheni kuchafua watu
Mke wa Mwigulu haitwi Ester
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye mabasi yake si ajitokeze hapa tumalize utata!Ona huyu sasa anavyo comment kwa kujiamini na matango Pori yake hacheni kuchafua watu
Mke wa Mwigulu haitwi Ester
Ile 'single source' ya kuwapa wachina ujenzi wa SGR ulitegemea nini?Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Mwenye mabasi yake si ajitokeze hapa tumalize utata!
SawaVyanzo vya uhakika vinasema baada ya Mbunge kuleta mabasi 20 ya kisasa. Waziri Hana amani kabisa. Anawaza kujibu mapigo!
Muuaji aka SavimbiMwigulu ni mchawi, mwizi na muuaji! Mungu atuepushe nae kama alivyotuondolea Magu
Akitoka Korea anaagiza mengine 20 *****Nawasalimu Wakuu,
Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?
Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?
Kazi kwenu!
========
Thread 'Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj' Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj
Kwa akili hizi naonà Tanzania kuiba mali yà umma siyo kosa.Kwa hiyo umenuna mtu kujinunulia magari? Hebu acha akili za kimasikini mkuu!Au haupendi tukalione ziwa Singidani?😂😂😂
Usijekuiba simu kariakoo, ila iba kodi zinakusanywa na wafanyabiashara kariakoo.Kwa akili hizi naonà Tanzania kuiba mali yà umma siyo kosa.