DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

DOKEZO Waziri aagiza mabasi 60, Kampuni ya Esther

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwa waziri wa fedha hata kwa mkobo anapata.ameamua kushindana na shabibi.inaonekana mabasi yanalipa sana hasa ukiwa kama mwigulu kwani kodi hulipi
Kwamba waziri wa fedha anaweza kugaiwa hata billion 1OO sababu yeye ni Waziri for a personal Loan
 
Kwa waziri wa fedha hata kwa mkobo anapata.ameamua kushindana na shabibi.inaonekana mabasi yanalipa sana hasa ukiwa kama mwigulu kwani kodi hulipi
Bado ushuru na takataka nyingine hapo, tozo zetu zinamtajilisha mvaa bendera
 
Yes mama alitamka hivyo, naona mwinguuluu kamwingiza king kupitia tozo ili ajitajirishe mwenyewe
King kivipi ? Tozo zitaendelea kuwepo miaka yote..

Mwaka uliopita zilikuwepo mlipinga makelele lakini hazijafutwa,ndo zimeongezwa zingine..

Tozo no chanzo rasmi cha mapato ya serikali unless mlete debate kwenye rates na sio vinginevyo..
 
Safi sana amedunduliza weee!! kapata hizo!! ntamuunga mkono!!.......wakitorosha hela Uswiss mnalia weeee!!...hayaa wanafanyia hapa hapa ili mfaidi nyie Bado mnalia tyuuuu!!

wakirudi kwao vijijini mikono nyuma, na vijumba vya Nyasi km Nyerere!! mnacheka weeee!! mpaka mnanyamba km mazuzu!! ....hebu Mleta mada unataka wafanyeje sasa???

Ndo Maaana kumbe Mkoloni Babu zenu alikuwa anawachapa vichwani kwa ujinga km huu!!! hii ni roho ya kishetani.....Usafiri Mabasi 60 bila kipaji hufanyi!! tena, nchi nzima ndo kitu kizuri tunataka?? shida iko wapi?

tena bora huyu kuliko aliye jenga uwanja wa ndege karibu na jiko la nyumbani kwao tu! eti Mama yake akipika amuone anashuka na ndege!......jamani Dunia haiachagi vituko!

ndo nyie mfanyakazi wako, akijenga tu anakuibia!...unamuhamisha, unafilisika mazimaaa!
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!

========

Thread 'Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj' Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj
Hata kama kweli ameagiza acha mawazo ya kimaskini bro kwaiyo mtu asifanye maendeleo binafsi kwaiyo mshahara wake unaenda wapi
 
Naona watu wanajitahidi kuwaondoa watu kwenye mstari issue kubwa hapa ni TOzo za Bank haya mengine ni maneno tu yanaweza yasiwe ya kweli ni tricks za kisiasa tu. Issue ni tozo za bank hazifai kwisha. wazifute wananchi tunabebeshwa mizigo isiyo ya lazima. Punguzeni miradi isiyo na tija . Tanzania hatuna nguvu ya kuendesha miradi yoote tuliyoianzisha acheni mingine au ahirisheni mpaka baadae. Hata Rome haikujengwa kwa siku moja ni miaka mingi, na maisha yaliendelea. Sio hizi tozo.
 
Vema.Usirudie ujinga.Nitakukera.
Asante sana na nimekuelewa vizuri sana na sikupenda unikere ndio maana nikaongea na wewe kwa heshima zote maana unaonekana upo educated sana kuliko mtu yoyote yule hongera sana kwa kila kitu na endelea na hiyo tabia....
 
Nakubliana na wewe 1000%
Sasa ni jukumu la mwenye jukwaa Maxence Melo kutafakari maboresho gani yafanyike kulingana na ukweli kwamba JF inazidi kupoteza ushawishi
Kuna wajumbe humu wanafikiri humu ni kama FB au Twitter hasa walew wanaolipiwa bundle za kufanyia propaganda!
Lakini inawezekana pia kukawa na mchango wa wanaochangia humu wanaoona michango ikidorola kusaidia kurekebisha hali hiyo.

Kuna njia kadhaa za kuwadhibiti hao wenye kazi walizotumwa kuvuruga hadhi ya jukwaa hili.
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!

========

Thread 'Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj' Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj
Mada yako imeanza vibaya, naona huelewi nchi inakokwenda na hujui dunia ilipokwishapitia miaka hii!

Huyo unayemlilia asaidiwe na TISS, sijui hayo mawazo umeyatoa wapi?

Ngoja nikupe hint, kama wewe ni mtu mwenye kujishughulisha kichwani utajuwa ni nini ninachokwambia.

Ulishasikia 'Oligarchy' wa Urusi?
Na mabilionea wa China unajuwa walikotoka?

Huyo mama unayemwitia TISS, kazi yake kubwa anayoyotaka akumbukwe juu ya uongozi wake ni kujenga tabaka hilo la watu hao hapa Tanzania. Lakini bado kuna watu kama wewe hamuelewi nchi inakokwenda!

Si maajabu haya?
 
Samia yupo serious kweli??? HAPANA HAPANA HAPANA
 
Nawasalimu Wakuu,

Nchi inaenda pabaya wakuu, TISS msaidieni mama. Hivi inakuwaje waziri anaagiza Yu Tong 60 halafu hamsemi kitu?

Huyu Waziri Fedha hizi za Yu Tong 60 kampuni ya Esther, amepata wapi?

Kazi kwenu!

========

Thread 'Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj' Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaj
Kizazi kisicho fikiri hata kidogo ,Kila ukisikia umbea mtandaoni unatuletea hapa .Panone na lake oil ya Riz one ,Esther ya mwigulu,Richmond ya lowasa.Huo ni utoto watu wapitia ugumu kuanzisha biashara nyinyi mnawamilikisha wanasiasa watu wa hovyo sana.
 
Naona watu wanajitahidi kuwaondoa watu kwenye mstari issue kubwa hapa ni TOzo za Bank haya mengine ni maneno tu yanaweza yasiwe ya kweli ni tricks za kisiasa tu. Issue ni tozo za bank hazifai kwisha. wazifute wananchi tunabebeshwa mizigo isiyo ya lazima. Punguzeni miradi isiyo na tija . Tanzania hatuna nguvu ya kuendesha miradi yoote tuliyoianzisha acheni mingine au ahirisheni mpaka baadae. Hata Rome haikujengwa kwa siku moja ni miaka mingi, na maisha yaliendelea. Sio hizi tozo.
U said it al mkuu. Yaan naamini ni mlevi mmoja tu ameamua kututoa nke ya rada. Hii habari nineikataa kabisa
 
Back
Top Bottom