Mdogo ake the BOLD
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 510
- 871
Ila wabongo kwa malalamiko....mzee mwenye hayo mabus kaanza biashara nadhani Mwigulu alikua shule bado tena alianzia na malori na ndo biashara yake kubwa ndo mabus yakafata...na ni ndugu yake na mmiliki wa mabus ya Ngasere...